Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Anafahamika kwa kufanya kazi kwa kujikweza na kutafuta headlines. Ni kada wa CCM anayependa matumizi ya nguvu na siasa za kutumia polisi. Nilimuona kwenye picha huko upareni mazishi ya kisumo akimkazia macho JK wakati anasalimiana na EL-Nino-Je atawafanya nini UKAWA na EL-NINO? Kabla ya kuwa Arusha alikuwa mkuu wa wilaya Bagamoyo huko ni polisi na yeye watu walipigwa na kuwekwa ndani hadi viongozi wa serekali wa kijiji walitiwa ndani maeneo ya Mapinga.