Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Habari ya muda huu wadau
Ninaona kutokana na hali ya kiuchumi,mahitaji ya chakula,ufinyu wa maeneo kutokana na ongezeko la RAIA na shughuli za kibinadamu ninashauri magereza hizo zitengewe maeneo ya uzalishaji pembezoni mwa miji
Maeneo hayo yatasaidia katika kilimo cha mazao,miti ya matunda na mbogamboga,ufugaji wa mifugo kama ng'ombe,mabwawa ya samaki,kuku nk
Hatua hii itachangia kulifanya jeshi la magereza na wafungwa kujitegemea kwa chakula na kuzigawia taasisi nyingine kama hospitali,vituo vya watoto yatima na wazee wasiojiweza
Ili kuhakikisha zoezihilolinafanikiwa,yakishatengwa maeneo vipelekwe vitendea kazi kama matrekta,mbolea na mbegu za kisasa bila kusahau maji ya uhakika mfano kuchimba mabwawa makubwa au visima
Lengo nikuzifanya magereza zote nchini zijitegemee
Ninaona kutokana na hali ya kiuchumi,mahitaji ya chakula,ufinyu wa maeneo kutokana na ongezeko la RAIA na shughuli za kibinadamu ninashauri magereza hizo zitengewe maeneo ya uzalishaji pembezoni mwa miji
Maeneo hayo yatasaidia katika kilimo cha mazao,miti ya matunda na mbogamboga,ufugaji wa mifugo kama ng'ombe,mabwawa ya samaki,kuku nk
Hatua hii itachangia kulifanya jeshi la magereza na wafungwa kujitegemea kwa chakula na kuzigawia taasisi nyingine kama hospitali,vituo vya watoto yatima na wazee wasiojiweza
Ili kuhakikisha zoezihilolinafanikiwa,yakishatengwa maeneo vipelekwe vitendea kazi kama matrekta,mbolea na mbegu za kisasa bila kusahau maji ya uhakika mfano kuchimba mabwawa makubwa au visima
Lengo nikuzifanya magereza zote nchini zijitegemee