The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Iwapo magereza yetu yangeamua kuanzisha program za elimu na iwe lazima kwa kila anaeingia mle, naamini tusingekuwa hapa tulipo leo, maana naona ama kujiaminisha wengi wa wafungwa hujiona wasio na thamani kwenye jamii, hivyo kama kila mfungwa mmoja mmoja angechagua kozi na kuisoma mle ndani ya magereza basi tungekuwa na idadi ndogo sana ya wafungwa mwaka hadi mwaka