King Easy
Member
- Aug 11, 2013
- 45
- 57
Kwa muda mrefu kumekuwa na Magenge mbalimbali ya Utapeli kupitia Mitandao, Waganga na hata Wafanyabiashara. Hadithi n nyingi kuhusu magenge ya watu hawa. Yawezekana una ndugu, rafiki au hata jamaa aliyekumbwa na kadhia ya hii ya kutapeliwa.
Zipo taarifa kuwa ndani ya Magenge haya kuna watu wa kada tofauti ikiwemo watu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama
Share story yako hapa.
Zipo taarifa kuwa ndani ya Magenge haya kuna watu wa kada tofauti ikiwemo watu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama
Share story yako hapa.