Magazetini - Zitto Kabwe anavyolilia urais

Dah kumbe Zitto kazi yake kuhonga magazeti wamweke ukuruasa wa kwanza hata kama wanamtukana ili mradi tu atoke.. Magazeti yote haya kayalipa atolewe Ukurasa wa kwanza kwa sababu anautaka urais..Dah basi huyu Zitto ana akili sana ama kichaa kabisaaa..
 
Dah kumbe Zitto kazi yake kuhonga magazeti wamweke ukuruasa wa kwanza hata kama wanamtukana ili mradi tu atoke.. Magazeti yote haya kayalipa atolewe Ukurasa wa kwanza kwa sababu anautaka urais..Dah basi huyu Zitto ana akili sana ama kichaa kabisaaa..
Mkuu Mkandara, I don't belive this!. Sorry sio kuwa I don't belive you!, I just don't belive what you are saying!.
I has happened kuwa niko Dodoma, nitajaribu to seek audience with Zitto na nitamuuliza baadhi ya maswali ili kuweka conscious yangu right kuwa I support the right man who will stand for the right cause no matter what!. Mkandara, ma great thinkers wa level yako its improper kujiingiza kwenye unfounded allegetions, insinuations and some innuendos!.
 
Mkuu Mkandara, I don't belive this!. Sorry sio kuwa I don't belive you!, I just don't belive what you are saying!.
I has happened kuwa niko Dodoma, nitajaribu to seek audience with Zitto na nitamuuliza baadhi ya maswali ili kuweka conscious yangu right kuwa I support the right man who will stand for the right cause no matter what!. Mkandara, ma great thinkers wa level yako its improper kujiingiza kwenye unfounded allegetions, insinuations and some innuendos!.
Hapana mkuu sijajiingiza ila nashangaa tu kuona magazeti kama 10 yote yamemtoa Zitto frontpage na kumponda sana kumbe kalipia apondwe? basi nimechoka na politics za Bongo.. Ndugu yangu W.J alitoka gazeti moja na siku moja tu! nguvu zote zilimwisha basi huyu Zitto, Mgebuka haswaaa..
 
Ninapolishangaa Tanzania Daima ni kwa sababu inafahamika ni gazeti la Mbowe na siku zote inaizungumzia vizuri CHADEMA kama lilivyo MWANAHALISI. Sasa Zitto kama mwana CHADEMA nilitegemea wamzungumzia more sensibly kuliko kusema anateswa na Urais.
 
Mkandala umeona sasa hali halisi. Kuna kitu kisicho cha kawaida sana kwa Zitto, na hili ameshawahi kutamka mara nyingi sana, ni dalili mbaya kuhangaikia bila kutafuta utendajiwa ambao utamfanya wananchi wamwamini. Wengi walikuwa na mtazamo mzuri sana lakini sasa inaelekea kutifuka kutokana na alivyoharibu bungeni.
Lakini sio kwamba sielewi mkuu wangu najua sana kwamba Zitto is ambitious. Alisema toka zamani he will be the President oneday -watch me!..Kwangu mimi this is good news na toka siku ile nampima yeye kama yeye na sio kauli zake.. Kuna sehemu nimetofautiana na Zitto na kuna mahala tunakubaliana lakini kutaka kwake kugombea Urais hakunipi shida mimi hata kidogo kwa sababu najua ni wananchi wapiga kura watakao mchagua rais wa Jamhuri ya Tanzania..

Kosa niloliona hapa ni kwamba Zitto kazungumzia swala hili bungeni, mahala pasipo husika kabisa na nia yake wala hanunui kura ya mjumbe. Lakini pia sinto mdharau sana sijui alikuwa na agenda gani na ilianza vipi hadi ikafiika aseme hayo alosema. The guy yuko ktk mission. I admire his courage and confidence, he might be the chosen ONE or could be his worst nightmare - The MATRIX..
 
Ninapolishangaa Tanzania Daima ni kwa sababu inafahamika ni gazeti la Mbowe na siku zote inaizungumzia vizuri CHADEMA kama lilivyo MWANAHALISI. Sasa Zitto kama mwana CHADEMA nilitegemea wamzungumzia more sensibly kuliko kusema anateswa na Urais.

Zito kulilia urais, ni habari ambayo imechukua vichwa vya habari ukurasa wa mbele magazeti mengi tu, sasa we gazeti unaloliona ni Tanzania Daima tu? Hapo inabidi tukupe kurunzi uweze kupata nuru ya kusoma vizuri magazeti yote.
 
Ninapolishangaa Tanzania Daima ni kwa sababu inafahamika ni gazeti la Mbowe na siku zote inaizungumzia vizuri CHADEMA kama lilivyo MWANAHALISI. Sasa Zitto kama mwana CHADEMA nilitegemea wamzungumzia more sensibly kuliko kusema anateswa na Urais.
Labda ukweli kuwa Zitto anateswa na urais umemfanya asiwe mchangiaji muhimu katika mikakati ya Chadema. Labda he is more about Zitto than about the party. Sijui.
 
Kutoka source moja wapo ni kwamba:
[h=3]
icon1.png
Filikunjombe: Sikwenda Kigoma kumsafishia yeyote njia[/h]
 
mwalimu nyerere aliwah sema ikulu ni mzigo,sasa baas kama zitto anaweza kuubeba abebe ila aangalie asije akadondoka nao!
 
icon1.png
Filikunjombe: Sikwenda Kigoma kumsafishia yeyote njia


Mh. Mh. Deo Filikunjombe amestushwa sana na swala la yeye kumsafishia Zitto njia ya Urais.
'Hayo ya Zitto ni ya kupikwa, something wrong somewhere" Anashangaa kwa nini kawekewa maneno mdomoni ambayo namna au nyingine imemdhalilisha kwa wapiga kura wake na kuonekana kama kibaraka fulani?

Atazungumza na waandishi wa Habari/atatoa tamko lake hivi karibuni. Mh. Jembe Mh. Deo Filikunjombe anasema kwamba ametumwa na watu wake kuwawakilisha na siyo kuzungumzia mambo yasiyo na msingi tena ya kuropokwa.hakwenda kigoma mumsafishia yeyote njia... Stay tuned.

source mshirika wa Mheshimiwa

Wote waliotajwa na gazeti la Mwananchi kuwa walimsafishia njia Zitto wanakana kusema maneno hayo, je ni dalili gazeti lilinunuliwa na Zitto kumtangaza?
 
Tatizo tuna rais 'DHAIFU' kiasi cha kila mtu kuona anaweza kuwa rais, Mungu atuepushe.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Wote waliotajwa na gazeti la Mwananchi kuwa walimsafishia njia Zitto wanakana kusema maneno hayo, je ni dalili gazeti lilinunuliwa na Zitto kumtangaza?
Kwanini usihisi kuwa gazeti hilo, ambalo lina editor, ni gazeti la kimtaamtaa.
All quotations (in this digital era) should be proven either by audio or a video clip. Au maandishi ya "aliyenukuliwa".
Huwezi kupitisha habari iliyoandikwa kwa short-hand (ambayo ina nukuu) na kusema tayari umeshaproof read. Ni ujinga wa magazeti yetu tu.
Au labda mtasema standards za bongo ni tofauti na standards za ughaibuni kama Le mutuz anavyodai?
 
Zitto atausikia urais hivi hivi. Maana wanaoupata ukiachia mbali Jakaya Kikwete hawana kimuhemuhe kama chake. Hatuwezi kukubali tena populist president ambaye mwisho wa siku hugeuka balaa na janga la kitaifa kama JK. Zitto tafuta angalau binti uoe usimamie familia yako ila siyo nchi kwa sasa.
 
Zitto amesikika ndan na nje ya Bunge kuwa anauwezo wa kuwa Rais wa nchi hii,hilo sio tatizo ni haki yake kikatiba.Tatizo langu ana mikakati gan ndan ya CHADEMA ambacho kina changamoto nyingi ikiwemo propoganda za UDINI na UKABILA ambazo CCM wamekuwa wakizitumia kwenye majukwaa ya siasa kuipaka matope CHADEMA.Changamoto nyingine ni CHADEMA kutokua na mtandao wa wanachama vijijini ambako ndipo wapigakura wengi wapo.Tunahtaji Zitto na viongozi wa juu wa CHADEMA watuambie wana mkakati gani juu ya changamoto hizi badala ya kutuletea mijadala ambayo haina tija kwa CHADEMA na TAIFA kuhusiana na URAIS.Pia CHADEMA wanahitajika kuanza umiliki wa vyombo vya habari vya chama kama REDIO,TV NA GAZETI rasmi vikimilikiwa na CHADEMA. Elimu ya uraia inahtajika sana vijijini.JENGENI CHADEMA VIJIJINI URAIS HAUJI BILA MIPANGO YA KUWA NA WAPIGAKURA WENGI.
 
Back
Top Bottom