kwa watu walio serious huwa hawasomi magazet ya udaku hivi unasoma nini mule na unagain nini hasa cha kushangaza hata watu wasomi unawakuta wamekazana na magazeti ya udaku ndo maana hawajui hata kinachoendelea katika nchi hawajitambui kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.