matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,520
- 15,139
Nimepita juzi kwenye Meza ya magazeti nikastaajabu kidogo.
Habari kuu za magazeti yote ni za Mgombea wa CCM.
Rangi ya kijani imetapakaa Meza nzima yani kama ukiangalia kwa mbali unaweza kudhani ni Meza ya muuza mbogamboga.
Nikajiuliza mbona twitter na JF Mpambano ni kama umebalance hivi japo kuna siku Habari kuu za JF zote pale kuu zilikuwa ni za CCM.
Kiukweli watu wanapenda kusoma Habari za upinzani maana zinaleta vitu tofauti maana za CCM zipo tangu 70s.
Je, wameshinikizwa?
Habari za CCM msimu huu zinauza kuliko Wapinzani?
Wapinzani hawana ushawishi humo kwenye media houses?
Wapinzani wamegomewa mgomo baridi?
Hawana cha maana cha kuongea?
Au mgombea wa Upinzani Jana yake alikuwa mapumziko?
Nimewaza tu hivyo, nikaamua Nile zangu Kona lakini niilete humu kwa wajuzi.
Habari kuu za magazeti yote ni za Mgombea wa CCM.
Rangi ya kijani imetapakaa Meza nzima yani kama ukiangalia kwa mbali unaweza kudhani ni Meza ya muuza mbogamboga.
Nikajiuliza mbona twitter na JF Mpambano ni kama umebalance hivi japo kuna siku Habari kuu za JF zote pale kuu zilikuwa ni za CCM.
Kiukweli watu wanapenda kusoma Habari za upinzani maana zinaleta vitu tofauti maana za CCM zipo tangu 70s.
Je, wameshinikizwa?
Habari za CCM msimu huu zinauza kuliko Wapinzani?
Wapinzani hawana ushawishi humo kwenye media houses?
Wapinzani wamegomewa mgomo baridi?
Hawana cha maana cha kuongea?
Au mgombea wa Upinzani Jana yake alikuwa mapumziko?
Nimewaza tu hivyo, nikaamua Nile zangu Kona lakini niilete humu kwa wajuzi.