nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
LEO MAGEZETI YOTE YA US NA UK; Hayasemi kitu chochote kuhusu Ushindi wa JK
Wameweka Story Muhumu kama William Ruto aenda THE HAGUE kujitetea kuhusu Mauaji wakati wa Uchaguzi Kenya; Kuhusu Mtalii kuliwa na Simba akioga huko Zimbabwe. Au NIGERIA silaha zimekamatwa na ISRAEL ambazo wanadhani zingeenda GAZA.
Hii inaonyesha kuwa pamoja na kuwa na Madini Kama Gold number 4 Afrika kwa Uzalishaji; URANIUM ikanza kuzalishwa # 2 AFRICA; GAS kama wakianza kuchimba iliyopatikana hivi karibuni # 5 AFRICA... NA PAMOJA NA USALAMA WETU; still wanatuona kama watu wasiofaa... Sababu ni Nchi Yetu IKIFANYA MAENDELEO BORA KWA WANANCHI WAKE NA MADINI TULIYONAYO WATAJILETA LAKINI TUKIENDELEA HIVI NA WIZI UDANGANYIFU HATUWEZI KUAMINIKA
Wameweka Story Muhumu kama William Ruto aenda THE HAGUE kujitetea kuhusu Mauaji wakati wa Uchaguzi Kenya; Kuhusu Mtalii kuliwa na Simba akioga huko Zimbabwe. Au NIGERIA silaha zimekamatwa na ISRAEL ambazo wanadhani zingeenda GAZA.
Hii inaonyesha kuwa pamoja na kuwa na Madini Kama Gold number 4 Afrika kwa Uzalishaji; URANIUM ikanza kuzalishwa # 2 AFRICA; GAS kama wakianza kuchimba iliyopatikana hivi karibuni # 5 AFRICA... NA PAMOJA NA USALAMA WETU; still wanatuona kama watu wasiofaa... Sababu ni Nchi Yetu IKIFANYA MAENDELEO BORA KWA WANANCHI WAKE NA MADINI TULIYONAYO WATAJILETA LAKINI TUKIENDELEA HIVI NA WIZI UDANGANYIFU HATUWEZI KUAMINIKA