Magazeti ya tarehe 22: Waandishi mnachangia kuchochea Umasikini Tanzania

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
HABARI KUU
1:TANZANIA DAIMA:Mbowe awageuka polisi
2:UHURU:Wauza unga sasa wadaiwa kuwafuata mateja vituoni (Inafanana na ya Mbowe/Madawa)
3:MAJIRA:Mbowe awadhibiti RC Makonda, Siro
4:JAMBO LEO:Elimu ya Makonda yazua Jambo Dar (Inafanana na ya Mbowe/mzizi ni Vita vya madawa)
5:HABARI LEO: Mahakama yampa ahueni Mbowe
6:MTANZANIA: Jinsi Mbowe alivyopekuliwa
7:NIPASHE:Mahakama yamuokoa mbowe kuwekwa Selo.
8:MWANANCHI:Mahakama yaamuru Mbowe asikamatwe


ANGALAU YA KIINGEREZA
1:THE CITIZEN:Revealled Manji owns 99pc of TIgo Tanzania
2:THE GUARDIAN: Foreigners now to undergo New work permit Scrutiny
3DAILY NEWS:We'll pay up all debts PM



Nimeshangazwa baada ya kupitia tena na tena habari kuu za magazeti karibu yote ya kiswahili yanaandika habari WANAYOIITA KUU MOJA kuhusu MBOWE Mahakamani.

Nimejiuliza hivi huwa kuna sehemu wanaenda kupewa muongozo wa kuandika habari kuu iwe moja maana kila gazeti linaofisi zake na ziko mahala tofauti tofauti lkn tunaaminishwa habari kuu nchini hiyo.

Au wanaandika kila ambacho watu wanapenda kusikia na kusoma?
Au wanaandika kile ambacho kitafanya magazeti yanunuliwe?
Au watu wanatumia magazeti kuongoza fikra za wananchi nini cha kujadili?
Hii imepelekea baadhi yetu humu kuamini nchi nzima hakuna kinachofanyika zaidi ya vita vya madawa ya kulilevya. Sentesi za watu kama hawa ni mazao ya habari kuu.
Kama ikiendelea hivi badi hata watu wa habari wanaweza kuwa kichocheo kikubwa cha umasikini .

Pongezi ziende kwa magazeti ya kiingereza maana angalau habari kuu zao mara zote huwa zinatofautiana.
 
Pongezi ziende kwa magazeti ya kiingeleza maana angalau habari kuu zao mara zote huwa zinatofautiana.

Nilitaka kukulaumu au kutumia akili yangu kukujib kumbe mwenyewe mlain nimekusamehe jifunze kuandika ndio uje ukosoe
 
soko
usipoandika wakipendacho vijana magazeti hayatatoka
wengi wabatumia nyenzo nyingine kupata hizo habari sasa waliobaki ni kujua wapo kundi gani
Marketer wa magazeti lazima wawe na statistics ni hoja zipi zitauza (hata wakisema uongo
 
Ila nyie wabongo si wakiandika tofauti mnawafungulia uchochezi sa wafanyeje maisha halisi ya mtanzania wakiandika ni tatizo
 
Umewaza kama mimi.Wahariri wa nchi hii ni mzigo kwa Taifa.Binafsi huwa nawashangaa sana.
kweli mkuu, hapo umahiri unapishana kwenye staili ya kuelezea tukio linalofahamika kwa wasomaji wengi maana mengi huwa tayari kwa technology ya sasa wameshayapata watu kupitia social medias na habari za saa mbili usiku
 
Kumbuka kuna mambo mawili
1. Kupasha habari
2. Biashara (nini soko lako linataka)

Magazeti ya Kiswahili wanajua wasomaji wao wanahitaji kupata habari ipi zaidi na ni hivyo hivyo kwa wasomaji wa Kiingereza.

Hata humu JF ni habari gani zinazovuma zaidi?
Kwanini isiwe zinazohusu bei ya mahindi?
 
Kumbuka kuna mambo mawili
1. Kupasha habari
2. Biashara (nini soko lako linataka)

Magazeti ya Kiswahili wanajua wasomaji wao wanahitaji kupata habari ipi zaidi na ni hivyo hivyo kwa wasomaji wa Kiingereza.

Hata humu JF ni habari gani zinazovuma zaidi?
Kwanini isiwe zinazohusu bei ya mahindi?
siku jamii/soko ikipotoka kabisa, itabidi tuilishe upotovu maana ndicho wanachohitaji?
 
siku jamii/soko ikipotoka kabisa, itabidi tuilishe upotovu maana ndicho wanachohitaji?

Mkuu Mitale, mbona theory ni ndogo, na ulivyojibiwa ni sahihi, yote inategemea market segment na mahitajio yao, Na mimi binafsi nakuunga mkono juu ya hilo..we are victims just like mateja..

Swala muhimu la kujiuliza, je majirani zetu kama nchi zinazoendelea kwa kasi kama Rwanda, Ghana je habari ndio hizi hizi ?

Labda kukusaidia, Tanzania everything is politics gone stupid, BUT... na kikubwa zaidi ukiangalia chanzo kikubwa ya hayo matatizo ya wanahabari wetu kuongelea sensational politics, ni kwa sababu ya serikali yetu kujiwekeza huko zaidi kuliko kuongelea maendeleo yoyote ya nchi, and that's start from the top, hawana interest ya wewe na mimi ktk mustakbali mzima wa Maendeleo yetu na nchi.

Na hili linasababisha kuwa na culture ya kila kitu siasa, which is deep rooted in our mind, inasikitisha kwa kweli, lkn hilo ndio hali halisi, yaani siasa yetu chafu, imeshatufanya tuwe junkies, we are only the victims of that system..

Until that culture changes and yes, the government start shifting that focus from individual vendetta na politicise anything but, we will start looking for another additives to quench our thirst.

Labda kukusaidia tuweze kuji rehab na hizi politics, the next headline should start with, uimara wa maendeleo yetu unaanza na uimara wa uhuru wa vyombo vya habari na muhimu zaidi, uimara wa muhimili mzima wa vyama vya siasa to counter checks on the government and its apparatus without facing or encountering the cynicism from the government and its apparatus, from there on the discussion will start slowly shifting from all these junk news to a more serious matters, i.e. Maendeleo yetu.

Wanasiasa iwe ni sehemu ya public forum wamefanya nini kwa maendeleo ya watu wake na nchi yetu na siyo atafunguliwa lini case ya ajabu ajabu kwa sababu amesema au kumsema Mtu fulani serikalini au ame criticise serikali na vyombo vyake..

I believe if we follow through that, the next 5 to 10 years, tunaongelea, headline nyengine za kimaendeleo maendeleo tu, ujunky wetu will slow shifting to that focus..na hizi gossip za kisiasa will move to the back pages ya magazeti yetu.

Je tunaowatu na wanasiasa competence enough to move us to that level of thinkings, je will they be given that opportunity to move us forward, that's another topic of discussion ..
 
Mkuu Mitale, mbona theory ni ndogo, na ulivyojibiwa ni sahihi, yote inategemea market segment na mahitajio yao, Na mimi binafsi nakuunga mkono juu ya hilo..we are victims just like mateja..

Swala muhimu la kujiuliza, je majirani zetu kama nchi zinazoendelea kwa kasi kama Rwanda, Ghana je habari ndio hizi hizi ?

Labda kukusaidia, Tanzania everything is politics gone stupid, BUT... na kikubwa zaidi ukiangalia chanzo kikubwa ya hayo matatizo ya wanahabari wetu kuongelea sensational politics, ni kwa sababu ya serikali yetu kujiwekeza huko zaidi kuliko kuongelea maendeleo yoyote ya nchi, and that's start from the top, hawana interest ya wewe na mimi ktk mustakbali mzima wa Maendeleo yetu na nchi.

Na hili linasababisha kuwa na culture ya kila kitu siasa, which is deep rooted in our mind, inasikitisha kwa kweli, lkn hilo ndio hali halisi, yaani siasa yetu chafu, imeshatufanya tuwe junkies, we are only the victims of that system..

Until that culture changes and yes, the government start shifting that focus from individual vendetta na politicise anything but, we will start looking for another additives to quench our thirst.

Labda kukusaidia tuweze kuji rehab na hizi politics, the next headline should start with, uimara wa maendeleo yetu unaanza na uimara wa uhuru wa vyombo vya habari na muhimu zaidi, uimara wa muhimili mzima wa vyama vya siasa to counter checks on the government and its apparatus without facing or encountering the cynicism from the government and its apparatus, from there on the discussion will start slowly shifting from all these junk news to a more serious matters, i.e. Maendeleo yetu.

Wanasiasa iwe ni sehemu ya public forum wamefanya nini kwa maendeleo ya watu wake na nchi yetu na siyo atafunguliwa lini case ya ajabu ajabu kwa sababu amesema au kumsema Mtu fulani serikalini au ame criticise serikali na vyombo vyake..

I believe if we follow through that, the next 5 to 10 years, tunaongelea, headline nyengine za kimaendeleo maendeleo tu, ujunky wetu will slow shifting to that focus..na hizi gossip za kisiasa will move to the back pages ya magazeti yetu.

Je tunaowatu na wanasiasa competence enough to move us to that level of thinkings, je will they be given that opportunity to move us forward, that's another topic of discussion ..
umeniongezea vitu mkuu, ulipoishia ndipo tulipokwamia
 
Magazeti ya Kiingereza mara nyingi huwa hayaendeshwi na mihemuko ya kijamiii inayoendelea!! To be honest, ukitaka key issues, soma English Newspaper! Hata The Daily News la serikali utakuwa unapata habari za maana kuliko magazeti ya Kiswahili ya binafsi!

Yaani ya Kiswahili ni kabisaaaaaa yapo kwa ajili yetu Waswahili!!!!!
 
Pongezi ziende kwa magazeti ya kiingeleza maana angalau habari kuu zao mara zote huwa zinatofautiana.

Nilitaka kukulaumu au kutumia akili yangu kukujib kumbe mwenyewe mlain nimekusamehe jifunze kuandika ndio uje ukosoe
Unaona hapo ulipo andika mlain ? Kweli hufai na hutoshi kumkosoa mtu yeyote.
 
Waacheni waandike wanavyojua maana hata ww ungekuwa mwandishi ungeandika hivyo hivyo kufuatana na soko lao
 
Back
Top Bottom