Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
Tangu Zito Kabwe afukuzwe uongozi wa CDM pamoja na wenzake Kitila na Mwigamba,hakuna habari mpya zinazoandikwa na media house nyingi zaidi ya habari za Zito.Yako magazeti ambayo sidhani kama hata yanafanya uchunguzi wa kina kuhusu sakata hili.Andikeni habari nyingine za maendeleo na za kufikirisha au mmelipwa?Wengi wamefukuzwa na vyama vyao lakini hakukuwa na kelele.Ngoma ikivuma sana.......................