ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Hatari sana, sijui huwa wanakurupuka tu au wanaconsult chanzo husika?
Siku hizi ni mbunge wa Kilindi km sikosei....yupo Mjengoni.Hivi mboni mhita yuko wapi
Umeuwa mkuu....!Kuna Siku Utatuambia Tunashindwa Kuwapa Mimba Wake Zetu Sababu Ya CCM
usiwe mbishi, kuna shida ya kukurupuka hapoMtoa mada inaonekana huwa hauko makini kwenye kusoma. Hivi nikikwambia nimeacha wanafunzi 10 na nikakwambia nimeacha wanafunzi 7 wa mzee juma , je inamaanisha ile kauli ya kwanza ya wanafunzi 10 si sahihi? Inawezekana kabisa waliachwa wa3 wa mzee Hassan na saba wa mzee Juma