Nahisi matumizi ya dawa za 'maradhi ya kichwa' hutumii kama ulivyoelekezwa pale m'mbili au ile hosp. pale Ddm..Unataka uniambie baba yenu mzazi akishindanishwa na baba wa jirani hamuwezi kumpa kura 100% baba yenu?
Mwasisi wa sera hii ya kuandaa maafa yajayo kwa taifa hili ni nani?Tuweke kumbukumbu sahii ya waasisi wa maovu yote haya for future use:
Idara Mhusika Mkuu
1. Tume ya uchaguzi-
2. Polisi
3. Uhamiaji
4.Wizara: a)
5.CCM
6.........
"Idd Amin".. umenipata?Mwasisi wa sera hii ya kuandaa maafa yajayo kwa taifa hili ni nani?
1. Maaskofu wa Katoliki walitoa tamko wakaonekana hawako sawa
Huo ushauri wako sidhani kama ataupokea, anawajua wamarekani vizuri sana.Rubbish....... Wenyewe rais wao kachaguliwa na urusi sasa wanapiga kelele za nini? wapuuzi hao. Limewaganda. dadeki. Magu wakazie hivyo hivyo wanaharam hao
Huyo 'mungu' mie simwogopi kabisa, kwanza namchukia hasa maana ni adui wa wanadamu. Mimi namheshimu sana 'Mungu'.Acheni uzushi, muogopeni mungu.
Hili ndio Gazeti langu la kizalendo linahubiri ukweli na mabadilikoView attachment 837453View attachment 837452
Hiki ni kijarida kinachotengezwa na kusomwa na vigenge vya wapagaziHili ndio Gazeti langu la kizalendo linahubiri ukweli na mabadilikoView attachment 837453View attachment 837452
Hebu fafanua zaidi mkuu.Huyo 'mungu' mie simwogopi kabisa, kwanza namchukia hasa maana ni adui wa wanadamu. Mimi namheshimu sana 'Mungu'.