TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,740
- 21,181
Kila siku Serikali kupitia vitengo vyake mbalimbali wanabuni njia za kuongeza mapato.
Tozo mpya ya shilingi milioni moja kwa magari yanayokodishwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo ya kubeba miili ya marehemu inatazamiwa kupitishwa na kuanza kutumika, kumbuka tozo hiyo inayosimamiwa na (LATRA).
Nini maoni yako mdau wa JF?
UPDATES:
Mjadala ukiwa unaendelea huku wadau hasa wa mitandaoni ndiyo wenye kujua kwa ukaribu kile kinachoendelea kwa haraka, sasa ipo hivi.
Tukiwa tunashangaa hili la gharama za kukodisha gari la kubeba maiti, hivi karibuni watu waliofariki wameonekana wakisafirishwa kutoka vijijini hadi hospitali kwa ajili ya kuhifadhia maiti wao.
Hali hiyo inatokea nchini huko DRC Kwa kuwa hawana uwezo wa kukodisha gari ya kusafirisha na kuhifadhia maiti.
Watu wanaamua kuifunga kwa vitambaa kisha wanapakia nyuma ya bodaboda kisha jamaa wa bodaboda anaelekezwa aipeleke pale inapotakiwa, safari hii inaweza kuchukua masaa hadi 10 wakati mwingine zaidi kulingana na eneo analotakiwa kufikisha maiti.
👇🏿Hizi hapa chini ni baadhi ya picha zikionyesha maiti zilizo tayari kwa safari kwenye pikipiki.
Tozo mpya ya shilingi milioni moja kwa magari yanayokodishwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo ya kubeba miili ya marehemu inatazamiwa kupitishwa na kuanza kutumika, kumbuka tozo hiyo inayosimamiwa na (LATRA).
Nini maoni yako mdau wa JF?
LATRA yakanusha kuanzisha tozo za magari ya kubeba maiti. Yasema magari madogo yanayokodishwa ndio yatatozwa
Mamlaka ya usafiri ardhini LATRA imekanusha kuanzisha tozo kwa magari madogo ya kubeba maiti. Mkurugenzi wa usafirishaji Kahatano amesema Serikali haijawahi kufikiria kuanzisha tozo ya namna hiyo bali mabasi madogo yanayokodishwa ndio yatatozwa tozo. Mabasi madogo yenye uwezo wa kubeba abiria...
www.jamiiforums.com
UPDATES:
Mjadala ukiwa unaendelea huku wadau hasa wa mitandaoni ndiyo wenye kujua kwa ukaribu kile kinachoendelea kwa haraka, sasa ipo hivi.
Tukiwa tunashangaa hili la gharama za kukodisha gari la kubeba maiti, hivi karibuni watu waliofariki wameonekana wakisafirishwa kutoka vijijini hadi hospitali kwa ajili ya kuhifadhia maiti wao.
Hali hiyo inatokea nchini huko DRC Kwa kuwa hawana uwezo wa kukodisha gari ya kusafirisha na kuhifadhia maiti.
Watu wanaamua kuifunga kwa vitambaa kisha wanapakia nyuma ya bodaboda kisha jamaa wa bodaboda anaelekezwa aipeleke pale inapotakiwa, safari hii inaweza kuchukua masaa hadi 10 wakati mwingine zaidi kulingana na eneo analotakiwa kufikisha maiti.
👇🏿Hizi hapa chini ni baadhi ya picha zikionyesha maiti zilizo tayari kwa safari kwenye pikipiki.