NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Hivi yawezekana kufunga engine ya Toyota katika X-Trail? Maana hii niliyonayo mmh!Janga la kitaifa
Hivi yawezekana kufunga engine ya Toyota katika X-Trail? Maana hii niliyonayo mmh!Janga la kitaifa
Njoo pmUna sh ngapi? Ipo iliyoharibika gear box
mkuu tujuze fuel consumption yake ipoje. Nazitamani sana hizi.Mimi nina Nissan Xtrail tangu 2012 na haijanisumbua zaidi ya tatizo lililotokana na uzembe wangu mwenyewe. Iko pouwaaa na ninaenjoy kila nikiwa nayo
Mimi gari yangu ina ukubwa wa engine (CC) 2000 na nikitembea mwendo wa kati ya km 80 hadi 120 kwa saa huwa natumia lita 1 kwa km 10 nikienda zaidi ya 120 au chini ya 80 huwa natembea km 7 kwa lita moja. Pia mimi natumia gereji moja kwa matengenezo yote hivo fundi wangu ni mmoja tu na ananishauri vitu vingi kila nikienda matengenezo.mkuu tujuze fuel consumption yake ipoje. Nazitamani sana hizi.
Handwriting yako inastahili kutendewa uliyotendewanilinunua gx 100 mwaka 2011, kuna mtu nilimuazima akapita nayo uchochoroni akaaribu antena ya mbele ambayo huwaka kwa kubonyezwa ndani.fundi kumpelelkea akaing'oa.
mara ya pili sait mirrow ilimuwa inatoa mrio wa mota kama haitali kuzima fundi akaikata waya ikawa upande mmoja inafunga mmoja haifungi..
nilipokuja jua mafundi wa karume,kiukweli vitu vingi nakiri walinihatibia gari wale wa kule jirani na kwetu.
ningewashauri waende na wakati.kuna siku ililetwa nissani fundi anasema hajuao anaanza wapi kufungua.anafikiria kufungua bila ya diagonosis ya kujua nini tatizo.
Baloon ndo nini?Toyota Baloon
Ni rvr mkuu nilikuwa nayo niliiuza laki 600000RVR au CVR sikumbuki vizuri, lakini zilikuwa zinaitwa kitchen party
Hii mashine ila mafundi wetu ndo majangaHili had niriritupa
Halafu aina hii ukiinunua ni la kwako mpaka kifo kiwatenganishe haliuziki kabisa.Ongezea Mitsubishi Pajero Mini!
Hii sheria ya kuondoa road license imekusadia sana.Big up Mkuu mimi ninayo Toyota auris hybrid ya 2011 niliagiza uk huwa nasafiri nayo sana tu full tank nafika mwanza bila kuongeza mafuta, naenda moshi na kurudi dar kwa full tank, mwaka wa pili haijawahi kunisumbua kitu chochote
Muongo wwe ambaye awali uktoa thread yyte sme time kuw silence xo ujingaaaWaongo wakubwa mnadanganya umma mafundi wakishindwa kutengeneza gari ooh bovu mfano Cherokee mbona ipo pouwa
Ulitisha mkuu.laki 6?Ni rvr mkuu nilikuwa nayo niliiuza laki 600000