lugendosisty
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 219
- 102
cool...Hongera sana
cool...Hongera sana
Nissan Xrail
Raleigh mkuu.Na wengine mtusaidie kujua baiskeli gani ni imara zaidi, maana huko ndio uwezo wetu
Gari za kihindi hizi, zinachemsha kinomaMahindra
Kwenye Toyota Prius sio kweli. Mimi naendesha Prius Hybrid ya mwaka 2011, mpaka leo ishatembea miles zaidi ya 200,000. Miles 10 ni km 16. Haina tatizo tazizo lolote, nakwenda nninapotaka. Full tank lita 40 ambazo zinanipa wastani miles 420.
Sasa sijui Prius ipi inayoisema wewe.
Mm nnayo toka 2015 haijawah kusumbuapasso
Utakuwa unamaanisha Mitsubishi Chariot...mkuu lilinisumbua hili dude sina hamu nalo....limenifiaga tu hapaKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
RVRKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
Asee,mwambie akurudishie hela yako haraka,unanunua umaskini,tafuta rav 4 mkuu,au suzuki escudoFreelander ina tatizo gani coz kuna mtu nimeshamlipa nusu bado nusu ili nichukue kitu.
Anaiuza 12M mi nilimwambia achukue 10 akakubali ila anasema engine ndo inashida but kanambia kuwa inaweza patikana for less than 2M.