dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,669
Huo sio ubaya mkuu. .hyo ni chuma, roho ya paka! Fanya drifting utakavyo weka oil yoyote na bado itadumu miaka 100, ubaya wake ni inakula sana wese
Huo sio ubaya mkuu. .hyo ni chuma, roho ya paka! Fanya drifting utakavyo weka oil yoyote na bado itadumu miaka 100, ubaya wake ni inakula sana wese
Wewe gari mpya unaweza kununua bojo jaribu hata vitz mpya 0km uone moto wakeUnachosema kweli coz niya yangu ni kuambia watu wasinunue magari hayo yajiwa used lamda kama ni mpya lakin kama used usisubutu kununua izo gari hapo
Iyo mazda mr8 kuna kaka yangu moja alipata ela za puh akanunua iyo gari mateso aliyopata namuonea huru sana mpaka leo hii lipo juu ya jiwe coz katengeneza sana bila mafanikio
Hawasumbui nimeshaagiza mara nyingi,ingia hapo kwenye link press order then unalipa kwa PayPal ukishindwa nenda kwa banker wako atakusaidia kupress order au fika pale Puma petrol station Oysterbay kuna agent wa online trade atakusaidia kuagiza...alternatively side mirror ya Raum hata Befoward wanazo kwenye duka lao la spea,hawa hawana magumashi wachekiMkuu, unaweza nisaidia namna ya kuagiza. Mfano nataka side mirror ya Toyota raum old model ya 2001.
Nafanyaje, na wanalipa kwa njia ipi PayPal au credit card?
Vipi wasipotuma, refund hawasumbui wala kuchelewesha?
Asante
Hawasumbui nimeshaagiza mara nyingi,ingia hapo kwenye link press order then unalipa kwa PayPal ukishindwa nenda kwa banker wako atakusaidia kupress order au fika pale Puma petrol station Oysterbay kuna agent wa online trade atakusaidia kuagiza...alternatively side mirror ya Raum hata Befoward wanazo kwenye duka lao la spea,hawa hawana magumashi wacheki
Agiza kupitia beforward hassles free zitafute hapa New & Used TOYOTA RAUM Side Door Mirrors - BE FORWARD Auto Parts unaweza kulipia hata CRDB hapo nakutumia PM namba ya mdada wa duka lao la Dar mcheki jtatu atakusaidia.Niko Dom, befoward hao wanawza nitumia huku.
Pia nimejaribu kuingia hapo naona kama wanataka niingize namba ya parts kitu ambacho sijui zinasomwa wapi kwenye gari hiyo
Usichoke, huenda kupitia mie wakaelimika mamia mkuu
RVRRVR au CVR sikumbuki vizuri, lakini zilikuwa zinaitwa kitchen party
Hii gari wacha tu aisee. Umaskini unakujia polepoleOngezea Mitsubishi Pajero Mini!
Mpaka nikaweka engine ya Noah lakini wapi shughuli ikahamia kwa gear boxPajero GDI
Kweli ndugu jamaa zangu wa vijiwe bubu wanawadanganya sana raia, matokeo yake wanaogopa kununua gari aina tofauti na Toyota wakati kila gari inatengenezeka...labda mtu aje na factor ya uchumi mbovu wa watu binafsi kushindwa kuhudumia magari ya brands nyingine ambayo spea zake ni aghali kiasi k.v Suzuki,Mitsubishi,Audi,VW na nyingine.Umenena vyema sana...
Mafundi wa Tanzania ndiyo wanaopotosha watu kuwa gari ni toyota pekee...lakini kuna brands nyingine zinafanya vizuri sana.
una maanisha "Zhiguli" ?Lada limekosa vipi humo? Au halihesabiwi kamani gari tena?
RVRKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
Hizo kila kona utakuta zimegeuzwa kuwa mabanda ya bataRVR au CVR sikumbuki vizuri, lakini zilikuwa zinaitwa kitchen party