Aiseeeee kweli Africa bado sanaMade In Kenya cars, BJ-50. They costs only KShs450,000 ($4,505.42) each.
View attachment 1040335 View attachment 1040336
Pesa za serikali ndio zimetumika kuunda hizo ndinga
Wamejaribu wameweka, kudos Kenya
Bro hzo ni gari au waduduMade In Kenya cars, BJ-50. They costs only KShs450,000 ($4,505.42) each.
View attachment 1040335 View attachment 1040336
Pesa za serikali ndio zimetumika kuunda hizo ndinga
Wamejaribu wameweka, kudos Kenya
Hafadhali zile nyumbu za JWTZ..Mwenye ako na picha za nyumbu a weke hapa
Hili ni la kuvunia mchele na kuwindia digdigWanashindwa ata na huyu..
View attachment 1040358
nani alitengeneza hericopter?au unamzungumzia adam wa tunduma?.kama ni adam ile ilikuwa kiki......wapo nyuma sana hao Wakenya huku kwetu jamaa alitengeneza Helicopter
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamejaribu au wamepoteza pesa za taxpayers
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us