figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kuna foleni kubwa sana katika barabara ya morogoro kuna ajali ilitokea usiku wa saa7 MBALA malori yaligongana na kuwaka moto katikati ya barabara ...foleni nikubwa mnoo FOLENI YA KM ZAIDI YA 3 MABASI NAWASHAURI PITIENI BAGAMOYO
Gari mbili za mizigo, moja lenye namba za usajili scania T182 DCM lililokuwa linatokea Iringa kwenda Dar es salaam zimegongana uso kwa uso eneo la Ruvu na kuwaka moto.
Gari mbili za mizigo, moja lenye namba za usajili scania T182 DCM lililokuwa linatokea Iringa kwenda Dar es salaam zimegongana uso kwa uso eneo la Ruvu na kuwaka moto.