Magari ya mzungu yametuacha mbali Sana Sisi akina Toyota

Hao ni mafundi Kanjanja. Mifumo ya gari yote iko sawa tofsuti ni design ya vifaa vyake. Mchele ni mmoja, mapishi tu ndo tofauti.
Wewe kumbe hujui Magari gari za Kijerumani zina mifumo tofauti ktk ku arrange engine parts hufungui hovyo hovyo unaweza ukaambiwa ufungue water pump ikakushinda kwa hyo lazma uwe umezizoea gari za Kijerumani ndio utaweza
 
Kama huyu jamaa Yangu amenunua IST mwezi wa march mwaka huu akampa wife wake na mwezi huu Kavuta huyu mnyama Kwaajili yake mwenyewe lkn mara nyingi anatumia IST Kwaajili Mishe za mjini....Acha tuendelee kutumia Toyota maana huyu ni mkombozi wetu
Wanasema ist ni bingwa wa misele...
 
20210730_152803.jpg

Chuma hiki hapa
 
Wewe kumbe hujui Magari gari za Kijerumani zina mifumo tofauti ktk ku arrange engine parts hufungui hovyo hovyo unaweza ukaambiwa ufungue water pump ikakushinda kwa hyo lazma uwe umezizoea gari za Kijerumani ndio utaweza
Ukweli ni kwamba mafundi wetu wengi ni makajanja hawawezi kusoma kitu kipya wanaenda kwa mazoea, kuna gari nilikuwa namsaidia boss wangu mmoja ilikuwa Benz e class (W212) kubadilisha parking sensor na light sensor, na kuna fuse zilikuwa mbovu mbele na nyuma (kwenye buti) alifanya diagnosis CFAO motors bill ilikuwa almost 3.5m akaamua kuakaagiza spare kutoka ebay ambazo zilikuwa much cheaper zikaja akamtafuta fundi wenyewe wanasema ndio bingwa wa gari za mzungu, kashindwa kujua hata aanzie wapi kuchomoa hizo fuse...ilibidi wenyewe tuanze kuingia google na yotube kila kitu kipo clear, kazi tulifanya wenyewe sana sana mwenye gari alimtoa tu hela ya maji kwa sababu tulitumia toolbox yake...gari za mzungu ni rahisi zaidi kufanya marekebisho mwenyewe kuliko utafute mafundi kwa sababu mafundi wengi waliopo mtaani wana ujanja wa kuunga unga
 
Ukweli ni kwamba mafundi wetu wengi ni makajanja hawawezi kusoma kitu kipya wanaenda kwa mazoea, kuna gari nilikuwa namsaidia boss wangu mmoja ilikuwa Benz e class (W212) kubadilisha parking sensor na light sensor, na kuna fuse zilikuwa mbovu mbele na nyuma (kwenye buti) alifanya diagnosis CFAO motors bill ilikuwa almost 3.5m akaamua kuakaagiza spare kutoka ebay ambazo zilikuwa much cheaper zikaja akamtafuta fundi wenyewe wanasema ndio bingwa wa gari za mzungu, kashindwa kujua hata aanzie wapi kuchomoa hizo fuse...ilibidi wenyewe tuanze kuingia google na yotube kila kitu kipo clear, kazi tulifanya wenyewe sana sana mwenye gari alimtoa tu hela ya maji kwa sababu tulitumia toolbox yake...gari za mzungu ni rahisi zaidi kufanya marekebisho mwenyewe kuliko utafute mafundi kwa sababu mafundi wengi waliopo mtaani wana ujanja wa kuunga unga
Sawa nimekuelewa kitu ambacho mlikosea ni kwamba hamkujua kwamba kuna Garege maalum za German cars na ziko chache nyie mmetafuta mafundi hawa wa Toyota ndio maana walishindwa kutatua tatizo lenu na ndio maana nakuambia Gari za mzungu zina Mafundi wake na Garage zake maalum
 
Ukweli ni kwamba mafundi wetu wengi ni makajanja hawawezi kusoma kitu kipya wanaenda kwa mazoea, kuna gari nilikuwa namsaidia boss wangu mmoja ilikuwa Benz e class (W212) kubadilisha parking sensor na light sensor, na kuna fuse zilikuwa mbovu mbele na nyuma (kwenye buti) alifanya diagnosis CFAO motors bill ilikuwa almost 3.5m akaamua kuakaagiza spare kutoka ebay ambazo zilikuwa much cheaper zikaja akamtafuta fundi wenyewe wanasema ndio bingwa wa gari za mzungu, kashindwa kujua hata aanzie wapi kuchomoa hizo fuse...ilibidi wenyewe tuanze kuingia google na yotube kila kitu kipo clear, kazi tulifanya wenyewe sana sana mwenye gari alimtoa tu hela ya maji kwa sababu tulitumia toolbox yake...gari za mzungu ni rahisi zaidi kufanya marekebisho mwenyewe kuliko utafute mafundi kwa sababu mafundi wengi waliopo mtaani wana ujanja wa kuunga unga
Mafundi wengi mtaani wamezoea Toyota Tu...
Unakutana na fundi amekaa miaka miwili hajawahi kutengeneza Magari ya mzungu wala Aina nyingine za kijapan
 
Nimeshangaa kuona jinsi Magari ya mzungu yakivyokuwa na utofauti na Magari yetu ya kijapan,Jana nilikuwa nasukuma ndinga BMW 320i kutoka banana Hadi Kariakoo hakika kuna utofauti Mkubwa Sana na rumion Yangu Hadi nilikuwa siamini jinsi hizi gari zilivyobarikiwa kuna nguvu, stability, comfortability na kuchanganya fasta.

aisee mnaomiliki hizi mashine mnaishi katika sayari yenu kabisa hapa TANZANIA,Magari ya kijapan nimeendesha mengi Tu Ila hizi ndinga za wazungu ziko level nyingine pia haziwezi kufanana na wajapan wetu hata nusu.

Nimejaribu kuweka picha ya BMW 320i ya 2006 na Toyota harrier ya 2006 hasa Kwenye eneo la Vyuma vinavyoshikilia tairi......

angalia picha hii ya mwisho ya Toyota harrier jinsi ilivyokuwa chini

View attachment 1864469
View attachment 1864470
View attachment 1864482

Top 10 manufacturers – most reliable engines​

ManufacturerFailure Rate
1Honda1 in 344
2Toyota1 in 171
3Mercedes-Benz1 in 119
4Volvo1 in 111
5Jaguar1 in 103
6Lexus1 in 101
7Fiat1 in 85
8Ford1 in 80
9Nissan1 in 76
10Land Rover1 in 72
 
Mafundi wengi mtaani wamezoea Toyota Tu...
Unakutana na fundi amekaa miaka miwili hajawahi kutengeneza Magari ya mzungu wala Aina nyingine za kijapan

Bottom 10 manufacturers – least reliable engines​

ManufacturerFailure Rate
1MG Rover1 in 13
2Audi1 in 27
3MINI1 in 40
4Saab1 in 40
5Vauxhall1 in 41
6Peugeot1 in 44
7BMW1 in 45
8Renault1 in 46
9Volkswagen1 in 52
10Mitsubishi1 in 59
 
Japanese cars ni durable na practical cars(engineering simplicity) ndo mana kwa watu wa kawaida zinauza zaidi popote pale duniani hata US zinauza sanaaaa kuliko any German car.

Japan ina reputation kubwa sana ya quality kweny kila kitu, ni umaskini wako tu unakusumbua. Kama unataka ride quality ya maana, sophistication na luxury, hands down European zitakidhi kiu yako……… lakini je ushawahi tia maguu kwenye Lexus au Infiniti model yoyote? Hata hapa mjini ni chache sana kuziona, trust me zinatick all boxes na bei ni mkasi zaidi hata kma ni used.
Kweli kama kuna Toyota Yaris ina speed 200 ni vitz ya ulaya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba mafundi wetu wengi ni makajanja hawawezi kusoma kitu kipya wanaenda kwa mazoea, kuna gari nilikuwa namsaidia boss wangu mmoja ilikuwa Benz e class (W212) kubadilisha parking sensor na light sensor, na kuna fuse zilikuwa mbovu mbele na nyuma (kwenye buti) alifanya diagnosis CFAO motors bill ilikuwa almost 3.5m akaamua kuakaagiza spare kutoka ebay ambazo zilikuwa much cheaper zikaja akamtafuta fundi wenyewe wanasema ndio bingwa wa gari za mzungu, kashindwa kujua hata aanzie wapi kuchomoa hizo fuse...ilibidi wenyewe tuanze kuingia google na yotube kila kitu kipo clear, kazi tulifanya wenyewe sana sana mwenye gari alimtoa tu hela ya maji kwa sababu tulitumia toolbox yake...gari za mzungu ni rahisi zaidi kufanya marekebisho mwenyewe kuliko utafute mafundi kwa sababu mafundi wengi waliopo mtaani wana ujanja wa kuunga unga
Mkuu chukua Kinywaji chochote hapo ulipo, nitumie bill PM.....umemaliza yote! Sio mafundi magari tu watanzania wengi hatupendi kuhangaisha akili zetu hata kwa mambo madogo tu!
 
Unapotaka kununua Gari yakupasa mambo kadhaa kabla ya kufanya maamuzi. yaani gari yako unaka iweje
1. Speed kubwa ambayo Tz Haitatumika,
2. Soft Ride
3. Economy ktk mafuta
4. Muoneakno wa ndani au Nje
5. Usafiri
6. Unanunulia watu Kitaa
7.Ushabiki wa ulay na Japani
8. Upatikanaji wa Spea
9. Kitu roho inapenda
10. n.k
 
ISIS ni magaidi huko middle East, wanamiliki visima vya mafuta, lakini gari zao za kazi huko jangwani ni TOYOTA 70 series na HILUX, sio kwamba hawana pesa za kuweza kutumia VW Amarok, Mercedes C Class, G wagon.

Desert Safari huko Dubai gari zinazotamba ni za Mjapani Nissan Y series na TOYOTA LC, huwezi niambia kuwa wamekosa pesa za kununua magari ya Mzungu hasa SUV kwa.ajili ya Desert Safari wakati police wao wamejaza gari za mzungu backyard.....
View attachment 1879194
 
Halafu Ulaya ni kawaida yao kuiaminsha dunia kuwa vitu wao na vitu vyao ni bora yakiwemo magari, laikini ukweli sio hivyo.
Kuna Mdau amesifu Speed ya magari ya mzungu
Angalia
1. Honda Accord vs BMW
2. Honda Civic type R vs BMW
 
Cha kushangaza haya magari ya kizungu yanayosifiwa na tunayoyaona mengi Tanzania yameangiwzwa na yametengenezwa huko huko Japan
 
Halafu Ulaya ni kawaida yao kuiaminsha dunia kuwa vitu wao na vitu vyao ni bora yakiwemo magari, laikini ukweli sio hivyo.
Kuna Mdau amesifu Speed ya magari ya mzungu
Angalia
1. Honda Accord vs BMW
2. Honda Civic type R vs BMW
BMW what?
 
Back
Top Bottom