Magari ya kuagiza odometer ni genuine au feki?

Silicon Valley

JF-Expert Member
Mar 6, 2012
1,092
1,116
Kwa wale tunaopenda kununua magari kupitia mtandaoni hizo odometer km zinazoonyeswa ni za kweli au feki zinaweza kurekebishwa ili kuuza ?

Mfano unakuta aina ya gari hiyo hiyo za mwaka mmoja (1999) na muuzaji mmoja
1. ina 18,000 km bei CIF 2125 usd na
2. ina 164,000 km bei CIF 2682 usd

Naongelea makampuni ya kijapani km BEFOWARD, SBT ,CARDEALPAGE , TRADECARVIEW n.k.

Sasa najiuliza inawezekanaje yenye km nyingi kwa maana nzee zaidi kuizidi bei gari hiyo hy km bado mpya ? ? ? kwani kwa tz 18,000 km bado mpya kabisa ? ?

Naomba ufahamu na uzoefu wenu tafadhali na ni wapi wa kuaminika zaidi ?
 
Kwa wale tunaopenda kununua magari kupitia mtandaoni hizo odometer km zinazoonyeswa ni za kweli au feki zinaweza kurekebishwa ili kuuza ?

Mfano unakuta aina ya gari hiyo hiyo za mwaka mmoja (1999) na muuzaji mmoja
1. ina 18,000 km bei CIF 2125 usd na
2. ina 164,000 km bei CIF 2682 usd

Naongelea makampuni ya kijapani km BEFOWARD, SBT ,CARDEALPAGE , TRADECARVIEW n.k.

Sasa najiuliza inawezekanaje yenye km nyingi kwa maana nzee zaidi kuizidi bei gari hiyo hy km bado mpya ? ? ? kwani kwa tz 18,000 km bado mpya kabisa ? ?

Naomba ufahamu na uzoefu wenu tafadhali na ni wapi wa kuaminika zaidi ?

Hebu fikiria zaidi ya hapo
 
Hebu fikiria zaidi ya hapo
Huh!!! Afikirie zaidi ya hapo, wakati maelezo yanaonyesha amekwangua ubongo kuhusiana na hiyo kitu. Ni sawa na kumwambia mwanaume amwage zaidi sekunde chache baada ya kushusha mzigo. Kama una majibu fanya kumsaidia tu ndugu
 
Huh!!! Afikirie zaidi ya hapo, wakati maelezo yanaonyesha amekwangua ubongo kuhusiana na hiyo kitu. Ni sawa na kumwambia mwanaume amwage zaidi sekunde chache baada ya kushusha mzigo. Kama una majibu fanya kumsaidia tu ndugu

Unajua huyu mutu hajaweka vizuri hii kitu,gari ya 18,0000km unaweza kuwa ilishawahi pata ajali nk,sasa vitu kama hivi lazima ajue maana vina effect kwenye bei
 
Huh!!! Afikirie zaidi ya hapo, wakati maelezo yanaonyesha amekwangua ubongo kuhusiana na hiyo kitu. Ni sawa na kumwambia mwanaume amwage zaidi sekunde chache baada ya kushusha mzigo. Kama una majibu fanya kumsaidia tu ndugu

Okay mara nyingi gari kama ina defect yeyote huonyeshwa kwenye report zao huo mfano wangu ni kwa hale ysio na ttizo lolote, kwa ujumla nitaka kujuwa km kuna aina yeyote ya kuchezea odometer ?
 
Nijuavyo mimi ni kuwa haya magari ya mtumba huwa yanauzwa kwa bei anayotaka muuzaji kulingana na namna alivyolipata hilo gari na namna lilivyo (condition, status na color).. Hakuna standard ya kupanga bei kwa vitu vya mtumba, sawa na mimi nikitaka kuuza simu yangu nayoitumia naweza uza kwa TZS laki moja labda kwa sababu nina shida na hiyo pesa na ninaihitaji mapema, lakini simu hiyohiyo alieinunua toka kwangu anaweza kuiuza TZS 160,000/- na ikauzika...
Kitu cha msingi ni kuangalia ubora wa gari kwa muonekano wa bodi na pia inspection report...ila odometer kwa magari ya kijapan yanayouzwa kwenye hizo web market pages huwa zinakua hazijachezewa na walizobadilisha nyingi huwa wanaandika kabisa kuwa Odometre ilibadilishwa nk... Niliambiwa magari ya dubai ndio mengi yalikua yanachezewa odometre
 
ww jidanganye kununua gari kwa kuangalia KM hizo zinashuswa
 
Nijuavyo mimi ni kuwa haya magari ya mtumba huwa yanauzwa kwa bei anayotaka muuzaji kulingana na namna alivyolipata hilo gari na namna lilivyo (condition, status na color).. Hakuna standard ya kupanga bei kwa vitu vya mtumba, sawa na mimi nikitaka kuuza simu yangu nayoitumia naweza uza kwa TZS laki moja labda kwa sababu nina shida na hiyo pesa na ninaihitaji mapema, lakini simu hiyohiyo alieinunua toka kwangu anaweza kuiuza TZS 160,000/- na ikauzika...
Kitu cha msingi ni kuangalia ubora wa gari kwa muonekano wa bodi na pia inspection report...ila odometer kwa magari ya kijapan yanayouzwa kwenye hizo web market pages huwa zinakua hazijachezewa na walizobadilisha nyingi huwa wanaandika kabisa kuwa Odometre ilibadilishwa nk... Niliambiwa magari ya dubai ndio mengi yalikua yanachezewa odometre

Shukran mkuu nimekuelewa sana
 
Kwa wale tunaopenda kununua magari kupitia mtandaoni hizo odometer km zinazoonyeswa ni za kweli au feki zinaweza kurekebishwa ili kuuza ?

Mfano unakuta aina ya gari hiyo hiyo za mwaka mmoja (1999) na muuzaji mmoja
1. ina 18,000 km bei CIF 2125 usd na
2. ina 164,000 km bei CIF 2682 usd

Naongelea makampuni ya kijapani km BEFOWARD, SBT ,CARDEALPAGE , TRADECARVIEW n.k.

Sasa najiuliza inawezekanaje yenye km nyingi kwa maana nzee zaidi kuizidi bei gari hiyo hy km bado mpya ? ? ? kwani kwa tz 18,000 km bado mpya kabisa ? ?

Naomba ufahamu na uzoefu wenu tafadhali na ni wapi wa kuaminika zaidi ?
Mkuu kampuni kama beforward, tradecarview ambayo inahusisha wauzaji wengi Wana magari Mengi sana na reputable kiasi kwamba kucheza na hivyo vitu ni almost 0%. Labda hizi za Bongo kwenye yard mie ndio siziamini.
 
Mkuu kampuni kama beforward, tradecarview ambayo inahusisha wauzaji wengi Wana magari Mengi sana na reputable kiasi kwamba kucheza na hivyo vitu ni almost 0%. Labda hizi za Bongo kwenye yard mie ndio siziamini.
Hizi za kwenye yard nyingi sana ni zimechezewa...zina ujanja ujanja mwingi aisee
 
Nijuavyo mimi ni kuwa haya magari ya mtumba huwa yanauzwa kwa bei anayotaka muuzaji kulingana na namna alivyolipata hilo gari na namna lilivyo (condition, status na color).. Hakuna standard ya kupanga bei kwa vitu vya mtumba, sawa na mimi nikitaka kuuza simu yangu nayoitumia naweza uza kwa TZS laki moja labda kwa sababu nina shida na hiyo pesa na ninaihitaji mapema, lakini simu hiyohiyo alieinunua toka kwangu anaweza kuiuza TZS 160,000/- na ikauzika...
Kitu cha msingi ni kuangalia ubora wa gari kwa muonekano wa bodi na pia inspection report...ila odometer kwa magari ya kijapan yanayouzwa kwenye hizo web market pages huwa zinakua hazijachezewa na walizobadilisha nyingi huwa wanaandika kabisa kuwa Odometre ilibadilishwa nk... Niliambiwa magari ya dubai ndio mengi yalikua yanachezewa odometre
Ufafanuzi bora kabisa
 
Kwa wale tunaopenda kununua magari kupitia mtandaoni hizo odometer km zinazoonyeswa ni za kweli au feki zinaweza kurekebishwa ili kuuza ?

Mfano unakuta aina ya gari hiyo hiyo za mwaka mmoja (1999) na muuzaji mmoja
1. ina 18,000 km bei CIF 2125 usd na
2. ina 164,000 km bei CIF 2682 usd

Naongelea makampuni ya kijapani km BEFOWARD, SBT ,CARDEALPAGE , TRADECARVIEW n.k.

Sasa najiuliza inawezekanaje yenye km nyingi kwa maana nzee zaidi kuizidi bei gari hiyo hy km bado mpya ? ? ? kwani kwa tz 18,000 km bado mpya kabisa ? ?

Naomba ufahamu na uzoefu wenu tafadhali na ni wapi wa kuaminika zaidi ?
Usidanganywe na low mileage......za uongo hizo kwasababu wanajua mnachoangalia ni low mileage.
 
Back
Top Bottom