Magari ya kifahari serikalini yapiga marufuku kenya

Ulimbo

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
3,767
4,035
Serikali ya Kenya imepiga marufuku viongozi wa serikali kutumia magari ya kifahari kama Benz, Volvo na Land cruiser na kuwataka mawaziri watumie Volkswagen ili kubana matumizi ya serikali.

JE VIONGOZI WA TANZANIA WANALIWEZA HILI?
 
Back
Top Bottom