Kama ulivokasirika wapo walimshukuru mchungaji au mwinjilisti huyo.... kwenye usafiri huwa kuna vingi..kuna nyimbo zinapigwa na zingine zinakera watu sana maana ni naked full...kuna kwaya na kuna taarab..na kuna nyimbo za dini ya kislam n.k baada ya yey kumaliza ungeomba na wew uhubir dini yako nafikir si mbayaLeo naona Mchungaji kaja na Kuombea Korona..... Haya mambo yanakera sana.
Nimepanda gari ama Kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app