ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Kila siku lazima yapate ajali mbili mpaka tatu mnafeli wapi ni ishu ya mifumo au tatizo nini madereva wenyewe au mizigo mnabebeshwa mizito sana fanyeni uchunguzi wa kina hii ni hasara.
Mbona specialized haulers wenyewe hawapati ajali sana kama nyie?
Mbona specialized haulers wenyewe hawapati ajali sana kama nyie?