Fao La Kujitoa
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 396
- 966
Mkuu wa polisi Njombe Hamis Issah amewaza kukamata watuhumiwa wizi wa magari pamoja na magari sita ya wizi. Kukamatwa kwa majambazi hayo ilitokana kwa kufuatilia gari moja ambalo liliibiwa Njombe na kupeleka kupatikana kwa hayo magari mengine 6.
Pongezi kwa jeshi la polisi.
Pongezi kwa jeshi la polisi.