Gari bovu linachefua usiombe msiwaone watu wako barabarani wanavumilia mkazani wanafurahia.
Usiombe gari iwe inachemsha acha kabisaa stress zake, Mtu anaendesha huku anamawazo hadi analia kimoyomoyo,huku pembeni ana kidumu cha Maji ya kupoza rejeta kila baada ya mda anajaza maji,
mbaya zaidi AC haifanyi kazi joto lake humo huwa linavuruga ubongo siyo kawaida!
Sasa fikiria vitasa navyo viwe vibovu hapo ndipo inatia hasira zaidi acha kabisa, utapita sehemu za mashimo shock up zinagonga utazani umebeba vijiko kwenye buti!
Hata hao trafiki baadhi ya magari huko barabani huwa wanayahurumia!
Unakuta mtu anaendesha gari kalowa chepe chepe Kwa jasho, vioo havipandi wala kushuka kumuandikia ni sawa na kumpa adhabu Mara mbili!
Magari mabovu yanachefua nyie acheni kabisa!!!!!!!!!!!!
Ukiwa na gari bovu hata mda wa kuongea na mtoto mzuri pembeni huwa haupo kabisaa!..
Usiombe gari iwe inachemsha acha kabisaa stress zake, Mtu anaendesha huku anamawazo hadi analia kimoyomoyo,huku pembeni ana kidumu cha Maji ya kupoza rejeta kila baada ya mda anajaza maji,
mbaya zaidi AC haifanyi kazi joto lake humo huwa linavuruga ubongo siyo kawaida!
Sasa fikiria vitasa navyo viwe vibovu hapo ndipo inatia hasira zaidi acha kabisa, utapita sehemu za mashimo shock up zinagonga utazani umebeba vijiko kwenye buti!
Hata hao trafiki baadhi ya magari huko barabani huwa wanayahurumia!
Unakuta mtu anaendesha gari kalowa chepe chepe Kwa jasho, vioo havipandi wala kushuka kumuandikia ni sawa na kumpa adhabu Mara mbili!
Magari mabovu yanachefua nyie acheni kabisa!!!!!!!!!!!!
Ukiwa na gari bovu hata mda wa kuongea na mtoto mzuri pembeni huwa haupo kabisaa!..