Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Moja la tatizo kubwa kwenye biashara na kilimo Tanzania ni usafiri ingekuwa vema serikali ingetoa kodi zote kwenye magari kazi kama malori na pickups. Hili litarahisisha watu kupeleka mbolea shambani na hoho, vitunguu na nyanya sokoni gharama iwe ni kununua na kusafirisha tu. mnaonaje?