Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
Vipi kuhusu mercedez benz c class mafundi wake na spare zinapatikana hapa bongo? Cz nina mpango wa kuagiza c class kutoka nje nisije jutiaKutokana na hali yetu kiuchumi kwa gari ndogo tunapendelea mjapani.
Mkuu ushamiliki moja ya haya magari?Zoea kuona taa ya check engine ikiwaka kwa haya mafuta mabovu tuayouziwa
Bmw na Merc sio gari za kawaida. Ni gari luxury kwahio hata maintanance yake ipo juu, sio sawa na carina,corolla etc. Ila ukiangalia bei ya used from Japan haina tofauti sana na toyota kwasababu ya demand. Ila gharama ya maintanance iko juu vile vile kwahio ukiwa nalo jipange usije kuambiwa shock absorber moja tzs 350,000 ukapata ugonjwa wa moyo.Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
bongo ni gharama zaidi.Hayo ni magari ya kifahari.
Kwa hiyo bei pamoja na gharama za matunzo ni kubwa.
Sijawahi kuona gharama za kubadili oil za BMW zilizo chini ya dola 50 za Kimarekani.
Na hata hiyo dola 50 ni kwa series hizi za chini na wala haijumlishi parts na labor.bongo ni gharama zaidi.
Vipi kuhusu Volkswagen kiongozi, hizi ndogo kama Polo na Golf. Naona bei zake ni za kawaida kw mtumba wa japani, hata CC zake ni kawaida tu, mbona hazitumiki sana huku kwetu? Au nao maintenance zake ni shida??Bmw na Merc sio gari za kawaida. Ni gari luxury kwahio hata maintanance yake ipo juu, sio sawa na carina,corolla etc. Ila ukiangalia bei ya used from Japan haina tofauti sana na toyota kwasababu ya demand. Ila gharama ya maintanance iko juu vile vile kwahio ukiwa nalo jipange usije kuambiwa shock absorber moja tzs 350,000 ukapata ugonjwa wa moyo.
Ila ni gari za starehe kweli na mbio mbio kweli.
Labda hujaangalia vizuri tu. Sasa hivi VW ni nyingi sana, moja ya sababu spares zake zipo nyingi na bei sio juu sana kulinganisha na bmw/merc.Vipi kuhusu Volkswagen kiongozi, hizi ndogo kama Polo na Golf. Naona bei zake ni za kawaida kw mtumba wa japani, hata CC zake ni kawaida tu, mbona hazitumiki sana huku kwetu? Au nao maintenance zake ni shida??
Kweli, hizo models ulizotaja zote ni nzuri. Hii tendency ya kununua Toyota tu inabidi watu wabadilike. European products ni bomba sana.Labda hujaangalia vizuri tu. Sasa hivi VW ni nyingi sana, moja ya sababu spares zake zipo nyingi na bei sio juu sana kulinganisha na bmw/merc.
Ukiniuliza ununue gari gani ya Euro nitakwambia VW yoyote ile. Popular model bongo ni Touareg,touran,golf,polo.
Kweli, hizo models ulizotaja zote ni nzuri. Hii tendency ya kununua Toyota tu inabidi watu wabadilike. European products ni bomba sana.