Stralis
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 618
- 613
Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
Kwanza hazitaki mafuta yenu haya mnachanganya na mafuta ya vitumbua pili pesa waswahili mnazo za kununulia michemsho madem kwahyo mstick na passo zenu lakin watu kama wakongo Zambia na kusini mwa africa hzo ndio gari zao toyota unatafuta kwa tochi hzo nchi...!af pia waswahil mshazoea kuigana kununua vitu bila kujua ubora niaje.