Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,314
- 7,730
Najua ndio maana nilikuuliza. Infiniti iko Superior.
Superior how? Mimi nakumbuka nilimuuliza jamaa tofauti akasema zaidi ya selling name, hakuna tofauti yoyote yaani gari zinamatch for 100%
Najua ndio maana nilikuuliza. Infiniti iko Superior.
Ni sawa ulinganishe toyota harrier na lexus rx300. Kwa macho zinaonekana sawa ila lexus ni superior in every sense.Superior how? Mimi nakumbuka nilimuuliza jamaa tofauti akasema zaidi ya selling name, hakuna tofauti yoyote yaani gari zinamatch for 100%
View attachment 443327 View attachment 443328 Ongeeni kuhusu sijui BMW, Merc.., ila mnyama huyu hapa Nissan Fuga..., ni mtamu kuliko utamu wenyewe.View attachment 443327
Tatizo mafundi wake....weng ni janja janja bt ukipata fund mzur utalipendaWakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
Nasikia vw check engine inawaka muda woteLabda hujaangalia vizuri tu. Sasa hivi VW ni nyingi sana, moja ya sababu spares zake zipo nyingi na bei sio juu sana kulinganisha na bmw/merc.
Ukiniuliza ununue gari gani ya Euro nitakwambia VW yoyote ile. Popular model bongo ni Touareg,touran,golf,polo.
Ni sawa ulinganishe toyota harrier na lexus rx300. Kwa macho zinaonekana sawa ila lexus ni superior in every sense.
Engine management warning light inakutaarifu hitilafu kwenye engine. Usiporekebisha itawaka mpaka siku ya mwisho wa gari.Nasikia vw check engine inawaka muda wote
Nimeicheki hiyo porsche panamera nmeona ni gari moja MATATA SANA, esp ile yenye twin turbo V8 engine, ina tech ya cylinder deactivation control yani ngoma kama unamatumizi ya kawaida cylinder 4 zinakuwa hazifanyi kazi kusave mafuta ila ukiamua kulifungua na cylinder nyingine zinaamka kufanya kazi na kupata maximum power, yani kama vile simba aliyelala ukimshika mkia tu KESI. Sema pesa tu inagomba lakini hii mashine nzuri sana kama huna pesa za mawazo.Mbibinho usifanishe Merc na vitu vya ajabu ajabu hivyo mbabe wa Merc ni porche panarama 2013 kuendelea kwa hizi saloon car hata mwenye mapenzi ya Merc akitumia porche panarama kwenye uchaguzi atachukua panarama na sio infinity sijui...
View attachment 443327 View attachment 443328 Ongeeni kuhusu sijui BMW, Merc.., ila mnyama huyu hapa Nissan Fuga..., ni mtamu kuliko utamu wenyewe.View attachment 443327
Volvo ipo poa sana, haswa XC90 yenye 4.4l, V8. Ngoja tuzisake muraaa. Hii ipo for sale parkers.co.ukUkitaka u Special kwa Bei ya Chini ni ya Gari yoyote aina ya Volvo
Volvo ipo poa sana, haswa XC90 yenye 4.4l, V8. Ngoja tuzisake muraaa. Hii ipo for sale parkers.co.uk
Nissan kwa huko marekani ndio inaitwa infiniti yani ni premium product yakekaka hii sio INFINITI kweli!!
Mtoa swali ameuliza swali akilenga Tanzania ,Kwani Tanzania siku hizi Tshs aitumiki tena jamani mpaka gharama ziwe kwenye malipo ya fedha za kigeni kama USD ??????Hayo ni magari ya kifahari.
Kwa hiyo bei pamoja na gharama za matunzo ni kubwa.
Sijawahi kuona gharama za kubadili oil za BMW zilizo chini ya dola 50 za Kimarekani.
M
Mtoa swali ameuliza swali akilenga Tanzania ,Kwani Tanzania siku hizi Tshs aitumiki tena jamani mpaka gharama ziwe kwenye malipo ya fedha za kigeni kama USD ??????