Mkuu Isanga family vipi kuhusu hizi disco Td5 huko majuu zipo?.. pia nazipenda sana hizi chumaMkuu sasa hivi haipo hivyo maana unaweza ukawa umepewa gari huko kama zawadi na kurudi nalo wanachotaka ni kodi yao tuu...ila ukiwa nayo mengi harafu hueleweki ndio tatizo sio moja...
BMW X5 over here. Not much to complain.Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
Bmw na Merc sio gari za kawaida. Ni gari luxury kwahio hata maintanance yake ipo juu, sio sawa na carina,corolla etc. Ila ukiangalia bei ya used from Japan haina tofauti sana na toyota kwasababu ya demand. Ila gharama ya maintanance iko juu vile vile kwahio ukiwa nalo jipange usije kuambiwa shock absorber moja tzs 350,000 ukapata ugonjwa wa moyo.
Ila ni gari za starehe kweli na mbio mbio kweli.
Hizi ukitaka kupata kwa bei nzuri agiza UK criss Lukosi yupo Facebook na insta anauza bei ndogo saana...Mkuu Isanga family vipi kuhusu hizi disco Td5 huko majuu zipo?.. pia nazipenda sana hizi chuma
Kusukuma sio tatizo na BMW nyingi zinauzwa bei nzuri sana mtandaoni tena mara nyingine kwa bei ndogo kuliko Toyota etc.Nimeanza kuona wabongo Wengi tena maboya tu wanasukuma BMW 7
Mkuu hayo BMW angalia mwaka na mwaka wa Toyota harafu ufananishe bei maana labda japan lakini sehemu nyingi naona BM mfano ya 2015 na Toyota ya 2015 hapo BM itauzwa bei juu tofauti na Toyota na aina za hayo magari pia...mengine yashapitwa na wakati maana wanunuzi wa BM wanaangalia mwaka kuliko wanunuzi wa magari mengine....BMW kwa bei ya mwaka wa karibuni Benz mwenyewe anaachwa mbali sana...Kusukuma sio tatizo na BMW nyingi zinauzwa bei nzuri sana mtandaoni tena mara nyingine kwa bei ndogo kuliko Toyota etc.
Tatizo ni spare parts zikiharibika.
So far spare parts siku hizi ni nyingi na kama hakuna ni rahisi pia kuagizia.
Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
Tatizo ushuru wake ni tishio..juzi nilicheki moja cif ni kama USD 4000 ila kodi ni 18,000,000Labda hujaangalia vizuri tu. Sasa hivi VW ni nyingi sana, moja ya sababu spares zake zipo nyingi na bei sio juu sana kulinganisha na bmw/merc.
Ukiniuliza ununue gari gani ya Euro nitakwambia VW yoyote ile. Popular model bongo ni Touareg,touran,golf,polo.
Si ana tuhuma za kudhulumu huyo jamaa.Hizi ukitaka kupata kwa bei nzuri agiza UK criss Lukosi yupo Facebook na insta anauza bei ndogo saana...
Changia uchumi ukueTatizo ushuru wake ni tishio..juzi nilicheki moja cif ni kama USD 4000 ila kodi ni 18,000,000
Mhhh hiyo siijui kuna kundi moja tupo nae naona anatupia magari ya UK kwa bei rahisi sana ila undani wake siijui kwenye biashara zake ila hana lugha ya biashara ni kama ana utoto fulani ingawaje ni mtu mzima....Si ana tuhuma za kudhulumu huyo jamaa.
Ana tuhuma hizo nadhani,maana humu jf walishamshambulia sana+ tuhuma za kula hela za rambirambi za mjane wa Mwangosi.Mhhh hiyo siijui kuna kundi moja tupo nae naona anatupia magari ya UK kwa bei rahisi sana ila undani wake siijui kwenye biashara zake ila hana lugha ya biashara ni kama ana utoto fulani ingawaje ni mtu mzima....
Ok ya mjane niliisoma sema sikuelewa ilikuaje maana yeye alikua nje alichangisha huko huko juu na kula au ilikuje ila kwa jinsi alivyo ana wenge Sana kichwa chake hakipo sawa lolote linawezekana...Ana tuhuma hizo nadhani,maana humu jf walishamshambulia sana+ tuhuma za kula hela za rambirambi za mjane wa Mwangosi.
Alichangisha za wabongo walioko UK then hakuziwasilisha kwny familia ya Mwangosi,utata ukaanzia hapo.Ok ya mjane niliisoma sema sikuelewa ilikuaje maana yeye alikua nje alichangisha huko huko juu na kula au ilikuje ila kwa jinsi alivyo ana wenge Sana kichwa chake hakipo sawa lolote linawezekana...
OK hapo nimeelewa sema anaonekana ni mjanja mjanja fulani ila magari anatangaza bei mpaka dar Kodi ni wewe ufatilie mimi huwa nahitaji Engine za landrover 110 najishauri kumuuliza maana ana nyodo utadhani kamaliza huku kwenye vifaa yupo bei tofauti na magari CIF yake inakua chini na wanasema wana office mikocheni...Alichangisha za wabongo walioko UK then hakuziwasilisha kwny familia ya Mwangosi,utata ukaanzia hapo.
Sasa vitu kama rambirambi vikizingua vipi kuaminiana kwny vitu kama magari?
Na kuna thread flani alishaileta hapa jukwaani kuhusiana na kuleta magari kutoka UK to Bongo bei za gari zake zikawa £££ ndogo sana,watu wakabishana sana ila kiukweli CIF zake zilikua under-estimated sana kulinganisha na Market value,ikaleta wasiwasi sana.
OK hapo nimeelewa sema anaonekana ni mjanja mjanja fulani ila magari anatangaza bei mpaka dar Kodi ni wewe ufatilie mimi huwa nahitaji Engine za landrover 110 najishauri kumuuliza maana ana nyodo utadhani kamaliza huku kwenye vifaa yupo bei tofauti na magari CIF yake inakua chini na wanasema wana office mikocheni...