Kama , nilivyotahadharisha kuhusu Maandamano feki ambayo yamefanyika leo huko Ujiji na Mwandiga Kigoma ,muda wa saa moja lililopita kuna magari matatu yamekodishwa na Henry MAtata Meya aliyechaguliwa kihuni baada ya kutukuza uanachama Chadema , ni wa Ilemela ya Coaster yakiwa yamebeba wahuni kutoka Mwanza yanaelekea Kigoma kwa ajili ya maandalizi ya fujo kwenye Mkutano wa Dr.Slaa.
Magari hayo yamepita eneo la Sengerema muda machache uliopita, naomba ins iweke namba kwa sasa kwani Coaster hizo zinafuatiliwa kwa ukatibu sana , na hasa baada ya baadhi ya vijana ambao wameweka kwenye mpango huo kutoa taarifa kwa Viongozi wa Chadema .
Coaster hizo , zikifika Geita zitakutana na Kizuizi baada ya vyombo vya dola kujulishwa , Aidha ikumbukwe kuwa leo wale waliandamana wametoa tamko mbele ya RPC WA Kigoma kuwa Dr.Slaa akifika Mjini Kigoma basi atauwawa .....
Naomba niwape taarifa hii kwa ufupi kwa sasa hadi hapo baadae .....
Updates.......
Henry MAtata , akiwa kwenye VX Nyekundu , akiwa na Msafara wa magari mawili aina yacDouble Cabin alivuka Kizuizi cha Police cha Buseresere , Wilaya ya Chato akiwa anaongoza Msafara wa hao wahuni wake .......
more to to come soon.
Magari hayo yamepita eneo la Sengerema muda machache uliopita, naomba ins iweke namba kwa sasa kwani Coaster hizo zinafuatiliwa kwa ukatibu sana , na hasa baada ya baadhi ya vijana ambao wameweka kwenye mpango huo kutoa taarifa kwa Viongozi wa Chadema .
Coaster hizo , zikifika Geita zitakutana na Kizuizi baada ya vyombo vya dola kujulishwa , Aidha ikumbukwe kuwa leo wale waliandamana wametoa tamko mbele ya RPC WA Kigoma kuwa Dr.Slaa akifika Mjini Kigoma basi atauwawa .....
Naomba niwape taarifa hii kwa ufupi kwa sasa hadi hapo baadae .....
Updates.......
Henry MAtata , akiwa kwenye VX Nyekundu , akiwa na Msafara wa magari mawili aina yacDouble Cabin alivuka Kizuizi cha Police cha Buseresere , Wilaya ya Chato akiwa anaongoza Msafara wa hao wahuni wake .......
more to to come soon.