Huku ni kwa wale wanaoitetea na kuisapoti ccm tu(kama wanaweza kujitokeza hadharanii!!!). Ni kichaa tu,au anayejifanya chizi anaweza kuchangia huku. Tunahitaji wachangiaji ambao WANATETEA MAMBO YAFUATAYO: mgawo wa umeme usio na kikomo, kutopatikana kwa maji safi na salama kwa uhakika tz nzima, foleni kali za barabara dsm, uzembe makazini,wizi na rushwa kwa viongozi wa ccm,asilimia 95 ya watanzania ni maskini,misamaha ya kodi kwenye madini,mawaziri wapenda anasa ambao saa11 alfajiri unawakuta club and asubuhi yake wanaingia bungeni,malipo mabovu ya wafanyakazi,kufeli kwa wanafunzi mashuleni,elimu yetu kushuka hata vyuoni,safari za kila siku za jeikei,mauaji ya polisi,watu kujilipa maposho makubwa kila siku,wasira kutafakari kwa kutumia mbonji,kuitana wenyewe kwa wenyewe magamba!!! Yapo mengi wazee,mnaweza kuyaongeza!!UKIWA TAAHIRA WAWEZA KUSAPOTI NA KUTETEA UPUPU HUU WA CCM!!