mh cdhani kama vipoHivyo vifungu tajwa kwani kweli vipo?
hiyo namba 7 vipi vijana wanamaliza watu kwa kutegemea kupata mabikira 7265:4
Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi
4:3
Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha
If you have a spare time. Al-Qur'an al-Kareem - القرآن الكريم
Sina haja kuendelea, mod futa upuuzi huu
hiyo namba 7 vipi vijana wanamaliza watu kwa kutegemea kupata mabikira 72