Tetesi: Magaidi waloshambulia Madina ni mkono wa Israel

Yusomwasha

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
2,092
835
Kuna duru zinadai.kuwa israel ilihusika kwa namna zote katika mashambulizi ya kigaidi yalotokea madina
 
Kuna jambo lolote baya likitokea Muslim kaacha kumsingizia Muisrael? Jibu Hakuna
kwa nini hawa jamaa wanatupiana shutuma badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?

Mimi katika Maisha nimejifunza kwamba usitafute Mchawi bali tafuta njia Bora ya kutatua tatizo bila kutoa shutuma kwa mwenzako.

Hiyo ndiyo njia Bora ya kutatua tatizo.
 
kwa nini hawa jamaa wanatupiana shutuma badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?

Mimi katika Maisha nimejifunza kwamba usitafute Mchawi bali tafuta njia Bora ya kutatua tatizo bila kutoa shutuma kwa mwenzako.

Hiyo ndiyo njia Bora ya kutatua tatizo.

Ukiwa tu mwislamu tayari umepata cheti cha kulalama ovyo,Na ukipata tatizo hutaacha kulaumu Marekani,Au wanakombilia sasa hivi kwenye nchi wanazoziita wao MAKAFIRI Ambako wanafata maisha bora(nchi za magharibi),Israel au Wakristo hawawezi kuacha visingizio.ishakuwa desturi zao nasikia siku hizi wanaitwa WAZEE WA KULALAMA
 
Ukiwa tu mwislamu tayari umepata cheti cha kulalama ovyo,Na ukipata tatizo hutaacha kulaumu Marekani,Au wanakombilia sasa hivi kwenye nchi wanazoziita wao MAKAFIRI Ambako wanafata maisha bora(nchi za magharibi),Israel au Wakristo hawawezi kuacha visingizio.ishakuwa desturi zao nasikia siku hizi wanaitwa WAZEE WA KULALAMA
another marijuana smoker
 
ujue nyie waislam mnachekesha sana nyie wenyewe hampendani hata kidogo mfano ni shia na suni hawaivi chungu kimoja kama maharage na mawe.
israel ameingiaje hapo kwenye ugaidi?
wakati israel now wapo uganda kesho kutwa kenya wanamalizia ethiopia.... waliowalipua ni hao wenzenu ISIS,hao islamic state hawana akili nzuri ata kidogo
 
Nguvu kubwa mno inatumika humu ndani isiyo na tija,nabaki najiuliza:-

1. Hao waliowatuhumu wa Israel wanawasikia ??

2.Waisrael wanajua kuwa munawatetea na kuwapenda sana ??

3.Wewe unapungukiwa na nini kama mwarabu anamshutumu muisrael kiasi cha kufikia kumtusi/kumkejeli mtz/mweusi mwenzako kwa mambo yasiyokuhusu ??

4.Unamjumuhishaje muislamu asiyetoa neno lake kwenye hiyo kauli ???

5. Hivi ni kweli kabisa kabisa mtu mwenye akili ataumizwa na visivyo muhusu ???
 
Ukiwa tu mwislamu tayari umepata cheti cha kulalama ovyo,Na ukipata tatizo hutaacha kulaumu Marekani,Au wanakombilia sasa hivi kwenye nchi wanazoziita wao MAKAFIRI Ambako wanafata maisha bora(nchi za magharibi),Israel au Wakristo hawawezi kuacha visingizio.ishakuwa desturi zao nasikia siku hizi wanaitwa WAZEE WA KULALAMA
Mkuu hayo ni mapungufu yetu tivumiliane sawa boss
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom