Magafuli mbumbumbu? Foleni ya leo Morogoro Road

Nikupe pole Jatropha.
Unatakiwa kwanza ujenge uelewa wa mgawanya wa kazi na madaraka serikalini.
TANRoads ni wakala wa ujenzi wa barabara na wala si wasimamizi wa usalama wa vyombo vya usafiri na raia barabarani.
Kwa mtazamo wako sitakushangaa kesho kuishambulia kampuni ya KONOIKE kwenda kusimamia kuongoza magari kama taa zikikatika kwa vila wamejenga barabara hiyo.
Usalama barabara ni universal popote duniani polisi wa usalama barabarani, tatizo litokeapo barabarani wanaoitwa ni polisi. Kama gari bovu na linazuia magari mengine kupita, polisi wataita taw car kuja kuvuta gari hilo.
Ni mtazamo finyu mno kufikiria Magufuli aende kuvuta gari na ni kichekesho babu kubwa.
Ninyi ndio wale ambao mtoto anapochezea toy na kwa bahati mbaya toy ikaangukia kwenye chakuna unaenda kumzaba makofi mama yake.
:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:ya
 
Soma thread yangi vizuri, "Mbona hatumuoni Mhe Joihn Magufuli kuisimamia TANROAD kutumia fedha za mfuko wa barabara kununua breakdowns za kuweza kuondoa magari ya aina hii" Au utendaji wake na kufuata sheria ni pale katika kuboma kile kilichokwisha jengwa?

Kweli ni sahihi Tanroads itumie fedha kidogo za walipa kodi wa tanzania kununua Breakdowns za kuondoa magari yanayotokea labda mara moja kwa miezi mitano, wakati watoto wetu hawana madawati kwa mfano!

Kwa mtindo huu, ipo siku mtatwambia traffic wanunuliwe helikopta hili wawe wanawahi sehemu ilipotokea ajali ili kuondoa foleni zinazosababishwa na ajali hizo.

Think again!

 
nikupe pole jatropha.
Unatakiwa kwanza ujenge uelewa wa mgawanya wa kazi na madaraka serikalini.
tanroads ni wakala wa ujenzi wa barabara na wala si wasimamizi wa usalama wa vyombo vya usafiri na raia barabarani.
Kwa mtazamo wako sitakushangaa kesho kuishambulia kampuni ya konoike kwenda kusimamia kuongoza magari kama taa zikikatika kwa vila wamejenga barabara hiyo.

Usalama barabara ni universal popote duniani polisi wa usalama barabarani, tatizo litokeapo barabarani wanaoitwa ni polisi. Kama gari bovu na linazuia magari mengine kupita, polisi wataita taw car kuja kuvuta gari hilo.
Ni mtazamo finyu mno kufikiria magufuli aende kuvuta gari na ni kichekesho babu kubwa.
Ninyi ndio wale ambao mtoto anapochezea toy na kwa bahati mbaya toy ikaangukia kwenye chakuna unaenda kumzaba makofi mama yake.
:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:ya

tatizo lako unaongea maneno matupu wakati mimi naongea kwa vifungu vya sheria na kanuni za sheria za barabara, tena kwa bahati nzuri sana niliviweka hapa lakini sijui kwanini unashindwa kuvisoma, kifungu cha 9.5 cha kanuni ya sheria ya barabara imeatamka hivi "the road authority after twenty four hours outside urban aresa na six hours in urban areas cause to be towed a mechanically broken down vehicle or trailer to a yard at the nearest police station"
sasa naomba nikuulize hapa nchini tuna road authority zaidi ya tanroad? Au kwa uelewa wako polisi siku hizi imegeuka road authority? Na kumbuka kanuni hizi wamejitungia wenyewe.

Ni vizuri kwenye debate hizi za great thinkers tukajifunza kuthibitisha madai yetu kwa vieleelzo sio kupiga porojo za jumla tu.

Jambo moja ambalo nataka tukubaliane our entire legal system needs overhauling hivyo mhe john magufuli asijitie kimbelekimbele cha kuwaumiza watu kwa kuwabomolea mali zao katika sheia mbovu ambazo hata ninyi mnashindwa kuzielewa licha ya kuwawekea zaidi ya mara tatu mzisome
 
kweli ni sahihi tanroads itumie fedha kidogo za walipa kodi wa tanzania kununua breakdowns za kuondoa magari yanayotokea labda mara moja kwa miezi mitano, wakati watoto wetu hawana madawati kwa mfano!

kwa mtindo huu, ipo siku mtatwambia traffic wanunuliwe helikopta hili wawe wanawahi sehemu ilipotokea ajali ili kuondoa foleni zinazosababishwa na ajali hizo.

think again!


kanuni inasema "cause to be towed a mechanically broken down vehicle" halafu mwenye gari atalipa gharama, sioni tatzo hapo la tanroad kutumia hata breakdown zilizoko kwenye market. Kazi yangu inahusisha kusafiri mara kwa mara, tatizo la magari kutelekezwa barabarani na kusababisha ajali ni kubwa sana na watu hupoteza maisha na kupata vilema.
 
tatizo lako unaongea maneno matupu wakati mimi naongea kwa vifungu vya sheria na kanuni za sheria za barabara, tena kwa bahati nzuri sana niliviweka hapa lakini sijui kwanini unashindwa kuvisoma, kifungu cha 9.5 cha kanuni ya sheria ya barabara imeatamka hivi "the road authority after twenty four hours outside urban aresa na six hours in urban areas cause to be towed a mechanically broken down vehicle or trailer to a yard at the nearest police station"
sasa naomba nikuulize hapa nchini tuna road authority zaidi ya tanroad? Au kwa uelewa wako polisi siku hizi imegeuka road authority? Na kumbuka kanuni hizi wamejitungia wenyewe.

Ni vizuri kwenye debate hizi za great thinkers tukajifunza kuthibitisha madai yetu kwa vieleelzo sio kupiga porojo za jumla tu.

Jambo moja ambalo nataka tukubaliane our entire legal system needs overhauling hivyo mhe john magufuli asijitie kimbelekimbele cha kuwaumiza watu kwa kuwabomolea mali zao katika sheia mbovu ambazo hata ninyi mnashindwa kuzielewa licha ya kuwawekea zaidi ya mara tatu mzisome

Hata traffic police ni road authority pia
SUMATRA ni road authority pia

Hivo hii sheria ina mushkeli
 
Nakubaliana nawe. Hii ni changamoto ambayo inatakiwa iangaliwe pia kwamba sheria inawapa mamlaka ya kulitekeleza hilo. Ila mazoae ndiyo tatizo. Ni wakati sasa wa TANROADS kutekeleza pia role of monitoring the practices that reduces capacity of the carriageway na kuchukua hatua stahili kama vile inavyoshughulikia road corridor encroachments
 
hata traffic police ni road authority pia
sumatra ni road authority pia

hivo hii sheria ina mushkeli

hapa tunaelimishana kama police ni road authority weka evidence hapa kama ninavyofanya mimi, acha porojo za jumla. Katika kifungu hicho police wametajwa kama "to a yard in the nearest police station" kama wao pia ni road authority kwanini watajwe separately?
 
hata traffic police ni road authority pia
sumatra ni road authority pia

hivo hii sheria ina mushkeli

hongeara sana kwa kukubali sheria zetu zina mushkeli, hivyo aijitokeze mhe john magufuli asijitie kimbelmbele hususan pale maslahi ya wadau, taasisi na wananchi yanapohusika na kulindwa na sheia zingine.
 
hapa tunaelimishana kama police ni road authority weka evidence hapa kama ninavyofanya mimi, acha porojo za jumla. Katika kifungu hicho police wametajwa kama "to a yard in the nearest police station" kama wao pia ni road authority kwanini watajwe separately?

Porojo zipi tena?.....kwani trafic police sio authority? mbona wanatukamata? SUMATRA nayo? sidhani kama nahitajika kutoa evidences zaidi
 
Duh! Kuna kitu hapa Jatropha,
Sasa huyu Magufuli atakuwa sehemu ngapi za barabara za nchi hii? natumai jibu lako ni hawezi kuwa kila sehemu? Sasa kwa kuwa hawezi kuwa kila sehemu umesaidiaje basi kwa wale wasaidizi wake kujua kuwa huko kwenu kuna tatizo? Kama hujafanya jitihada zozote na umekimbilia hapa kuja kutoa lawama lazima utakuwa na matatizo ya kufikiri na hasa katika utambuzi wa vina vya matatizo yanayokuzunguka? Kama ndivyo, basi jifunze kuwa focused hasa unajaribu kutatua mambo yanayokukwaza.

hili nalo neno mkuu,
tusiwe wengi wa malalamishi kuliko kuwa wengi wa usaidizi, au tumesahau kuwa serikali ni watu na watu ndiyo sisi?
sasa vipi Magufuli ahusishwe na usumbufu wa foleni iliyosababishwa na kuharibika kwa lori? nadhani umefika wakati wa
jamii ya kitanganyika kuwa more sencetive katika kuwaza uandike ama ulalamike jambo la namna gani
 
hili nalo neno mkuu,
tusiwe wengi wa malalamishi kuliko kuwa wengi wa usaidizi, au tumesahau kuwa serikali ni watu na watu ndiyo sisi?
Sasa vipi magufuli ahusishwe na usumbufu wa foleni iliyosababishwa na kuharibika kwa lori? Nadhani umefika wakati wa
jamii ya kitanganyika kuwa more sencetive katika kuwaza uandike ama ulalamike jambo la namna gani

hoja hapa ni iweje akisafiri atapite magari mabovu barabarani yanayosababisha ajali, vifo na majeruhi halafu avalie njuga mabango ya matangazo? Hii ndio hoja iluyopo mezani. Nadhani unakumbuka wiziri mwenyewe alivyovalia njuga hayao mabango?
 
ndio maana mameya wa ilala na kinondoni walisema badala ya kuvuruga mapato ya halmashauri kwa kuchafua mabango ya matangazo amabyo huziingizia takaribani bilioni 2 kama kodi kwa mwaka, kwa kuwa wote ni kutoka serikali moja na chama kimoj wangeweza kukaa chini na kujadili sua la hilo kuliko nji za kibabe alizotumia, ule ulikuwa ni uhuni na matumizi mabaya ya madaraka.

Hilo suala lilishatolewa majibu, halmashauri haiwezi kuweka mabango kwenye barabara ambazo hawakuzijenga. Kama kweli halmashauri inapokea bilioni 2 na imekuwa inapokea pesa kwa miaka mingi, mbona maendeleo hatuyaoni. Hii ni kwasababu pesa nyingi zinaishia kwenye posho na wala sio maendeleo.

Wengi hawatampenda magufuli na kwenye hii process wengi wataumia lakini nadhani matokeo yataonekana mbele ya safari. Uzuri wake yuko ngangari na hababaiki, natumaini atafanikisha na matunda yataonekana
 
hilo suala lilishatolewa majibu, halmashauri haiwezi kuweka mabango kwenye barabara ambazo hawakuzijenga. Kama kweli halmashauri inapokea bilioni 2 na imekuwa inapokea pesa kwa miaka mingi, mbona maendeleo hatuyaoni. Hii ni kwasababu pesa nyingi zinaishia kwenye posho na wala sio maendeleo.

Wengi hawatampenda magufuli na kwenye hii process wengi wataumia lakini nadhani matokeo yataonekana mbele ya safari. Uzuri wake yuko ngangari na hababaiki, natumaini atafanikisha na matunda yataonekana

nakikiri umemiss point. Hoja ni kama aliweza kuona mabango yanasababisha ajali, vipi ashindwe kushughulikia magari yanayotelekezwa barabarani na kusabaisha ajali kwa magari mengine kuingi nyuma, ajili kutokea wakati wa kuyapita magari hayo n..k wakati ambapo kat sheria hizo hizo tanroad wanatakiwa kuyaondoa barabarani na mwenye gari kulipa? Sheria sio kama menu za migahawa.
 
MIMI NAMUUNGA MKONO MHESHIMIWA MAGUFURU KWA KUWA MAAMUZU YAKE HATA WENZAKE AMBAO WENGI NI MAFISADI HAWAYAPENDI
Hivyo nashauri apewe ushirikiano wa kutosha.Bila kushirikiana kazi wala maendeleo tuyatakayo hayawezi kuja,kutegemea mtu mmoja kufanya yote wakati wote tunawajibika katika kufanikisha mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu ni jambo linalozidi kuturudisha nyuma.
 
Leo kuna lori moja liliharibika opposite na kituo cha daladala Mbezi mwisho kutokea usiku. Lori hilo limesababsiha foleni kubwa sana, kutokea Kibamba foleni iifika Makondekona kutokea mjini foleni ilifika Stop Over wakati napita na pikipiki.

Ibara ya 9 (1-10) za Kanuni za Sheria ya barabara namba 13 ya 2007 zilizopitishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 21 la Tar 23 Januari 2009 zinazip mamalak TANROAD ya kuondoa magaro yoyote yaliyoharibika na kakaa barabara kwa zaidi ya masaa 6 mijini na masaa 24 vijijini.

Wakati magari yanayoharibika na kutelekezwa barabarani yakiendelea kusababisha ajali, vifo, majeruhi na usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara kama ilivyotokea leo asubuhi Morogoro road, Mhe John Magufuli anaendelea kudai kuwa mabango ya biashara yaliyowekwa katika hifadhi za barabara ndio kero namba moja katika barabara zetu na kwa kutumia ibara ya 32 ya Kanuni zilizotajwa hapo juu kuiagiza na kuisimamia TANROAD kuyawekea alama ya X na kuyaondoa mara moja.

Hii kati ya mabango ya matangazo yaliyoko katika Road Reserve na magari yanayoharibika na kutelekezwa barabara ni kwa masaa na hata siku kadhaa ni kipi ni kero zaidi kwa watumiaji wa barabara? Mbona hatumuoni Mhe Joihn Magufuli kuisimamia TANROAD kutumia fedha za mfuko wa barabara kununua breakdowns za kuweza kuondoa magaro ya aina hii?

Au kwa Magufuli sheria zinapaswa kutumika pale ubomoaji wa aina fulani unapohusika k.m kuondoa mabango ya matangazo, kubomoa jengo la TANRSCO n.k, na kwingineko sheria kuwekwa kapuni hata kama suala hilo li kero kubwa na husababisha ajali, vifo, majeruhi na usumbfu kwa watumiaji wa barabara. Toka lini sheria zikageuka kuwa kama "MENU" katika migahawa ambapo mlaji huchagua chakula akipendacho na kuacha asichopendea?

kweli we zuzu kwan waziri ndio breakdown mpk akatoe?
 
mimi namuunga mkono mheshimiwa magufuru kwa kuwa maamuzu yake hata wenzake ambao wengi ni mafisadi hawayapendi
hivyo nashauri apewe ushirikiano wa kutosha.bila kushirikiana kazi wala maendeleo tuyatakayo hayawezi kuja,kutegemea mtu mmoja kufanya yote wakati wote tunawajibika katika kufanikisha mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu ni jambo linalozidi kuturudisha nyuma.

hakuna asiyeunga mkono jambo zuri. Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa magari yanayoharibika na kutelekezwa barabarani kwa masaa na hata siku kadhaa yanasababisha ajali, vifo na majerhuhi kuzidi mabango ya matangazo yaliyoko katika road reserve. Kwa kuwa ibara ya 9 ya kanuni zake inashighiulika na tatizo hilo tulitegemea angeanza na hilo kabla ya kurukia ibara ya 32. Hi dhahiri kuwa kwa kudai kuwa mabango ya matanagazo yanasababisha ajli alikuwa nanlidanganya taifa ili kufanikisha ajenda yake. Kwa kuwa suala hilo halikuw ana udharura aliouzungumza ni wazi kuwa zilikuwepo nji a zingine za busra zaid za kushughuliia tatizo hilo ikitiliwa maani kuwa wizara yake na serikali za mitaa zote ni zao la serikali na chama kimoja.

Suala lingine hapa ni tabia ya kugeuza sheria kama menu za migahawa, kama tulivyoona sheria za nchi zinz matatizo , wakati sheri moja inatamka hapo ni road reserve ingine inatamka kuwa wanavijiji wana haki na ardhi hiyo. Hivyo katika hali kama hiyo busara ni lazima itumike badala ya ubabe anaonyesha magufuli kwa kuwa ameshikilia dola.
 
kweli we zuzu kwan waziri ndio breakdown mpk akatoe?

kama waziri anaweza kuacha shuguli zake, akashughulikia mabango ya matangazo kwanini asishughulikie pia na magari mabovu au kwa sababu mabangi hayo ni ya makampuni makubwa ya kibiashara yakitishwa yanatoa chochote. Kama ni uzuzu ni wa waziri wako kuacha ofisi kwenda kushugulika na mabango
 
hii topic nzima lengo la muanzishaji ni kuonesha kwamba mangufuli alifanya kosa kuondoa mabango ya matangazo barabarani.

kosa lake ni kuudanganya umma kuwa mabango ya matangazo yaliyoko katika hifadhi za barabara yanawazuia madereva na kusababisha ajali hivyo yaondolewe. Katika sheria hiyo hiyo akaruka tatizo halisi linalosababisha ajali nalo ni magari yanayotelekezwa barabarani. Kwanini kiongozi awe muongo? Je kama ameweza kuudanganya umaa katika hili, takuwa amedanganya mangapi katika kufanikisha malengo yake kibabe?
 
Mkuu una mabango yako mahara nini ndo maana umemvaa Mr Pombe?
Waziri kuja kuvuta gari iliyo na breakdown khaaaaaaa naona kuna haja ya polisi kukaa chonjo kama ndo ivyo.
Alafu kumbuka mabango mengine ni nussance kwa watumiaji wa barabara alafu yako kwa reserve ya TANROAD alafu wanaokusanya hayo mapato ni halmashauri wakati ni road reserve yaani ni sawa na kukusanya kodi ktk nyumba ambayo si yako.
 
Back
Top Bottom