Mafuta yaliokamuliwa kutoka kwenye alizeti

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Jul 22, 2009
929
147
Ni walewale wauzaji wa asali mbichi kutoka lumbe tabora, sasa wanakuletea mafuta safi ya alizeti kutoka singida. Yanapatikana hapahapa dar es slaam kwa bei nafuu kabisa ukilinganisha na ubora wake. Mpango mzima ni Hivi, Bei zetu za Asali ni. 1/4lt= 2000, 1lt= 8000, 5lt= 35000, na 20lt= 120000. vilevile tunayo asali ya nyuki wadogo (Nyori) ambayo; 1/4lt= 5000, na 1lt= 20000. Bei zetu za mafuta ni ; 1lt= 3000, 5lt= 15000, na 20lt= 60000.
 
Back
Top Bottom