elimumali
Senior Member
- Jan 13, 2010
- 149
- 8
Nimepata habari kuwa mafuta ya ubuyu ni dawa ya kumfanya mtu aache ulevi. Aliyenipa habari hii pia hana maelezo kamili. Members, nawaomba mwenye kufahamu atujulishe yafuatayo:
1. Inapatikana wapi
2. Matumizi yake (dose) na side effects zake
3. Bei yake
4. Maelezo mengine ya ziada
Natanguliza Shukrani.
1. Inapatikana wapi
2. Matumizi yake (dose) na side effects zake
3. Bei yake
4. Maelezo mengine ya ziada
Natanguliza Shukrani.