Mafuta ya UBUYU YANAUZWA

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Habari wadau,mafuta yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za UBUYU yanapatikana,lita moja ni shilingi elfu 30 tu.
Kwa mawasiliano zaidii
piga simu namba zifuatazo:
0712385456
0713890628
 
Habari wadau,mafuta yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za UBUYU yanapatikana,lita moja ni shilingi elfu 30 tu.
Kwa mawasiliano zaidii
piga simu namba zifuatazo:
0712385456
0713890628

Unapatikana mji gani? Au hiyo bei ni pamoja na usafiri kwa walio mikoani?
 
Mafuta haya yanafaida kadhaa
-yana vitamin A,D,E na F
-yana Omega 3,6,9
-yanatibu dry and damaged skim
-yanasaida regeneration of cell
 
View attachment 73707

packing yenu iko vipi? nimeona haya mafuta yanauzwa mitaani wame-pack kwenye chupa za valuer na vichupa vingine vidogo vilivyoisha chilli source

mnahitaji kuimarisha packaging

nnaweza kuwasaidia kupata machine ya kupack mafuta haya kwenye sachet/bag three side sealing PEP material kama hapo juu .... volume 50-100mls

this machine can fill and pack liquids ... capacity 60 bags/minute
 
Hata pale kituo cha mabasi cha Mlimani City ukitokea Ubungo barabara ya Mandela kuna jamaa anauza,sasa sijui yana ubora au ndio walewale
 
Back
Top Bottom