Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

OBAMA kaona fursa.......!!!, sasa ubuyu utaanza kupelekwa USA halafu yataletwa mafuta TZ.....!!!?

Aliyetuloga.....alishakufa....!!!?, wanasayansi au wataalamu wetu huona madhara katika bidhaa za ndani tu...? Hakuna kitu kisichokuwa na madhara....., bali katika kuleta maendeleo, wataalamu hujikita katika kupunguza madhara; hivyo basi wajibu wa TDFA ilipaswa vilevile kutafuta jinsi ya kupunguza madhara kwa bidhaa hii ambayo kwa sasa inaonekana kuwa na soko zuri hapa nchini.
Wanataka tuamini kwamba sigara hazina madhara kwa sababu wanapata kodi nyingi.
 
siku zote walikuwa wapi hao TFDA hadi kusubiri sabasaba ndio watoe tamko lao.
Mkuu hivi ndivyo ulivyo utendaji wetu wa kazi tz umesahau. Unasubiri waangamie wengi halafu mwisho unakuja sema kua ulijua madhara hayo tangu mwanzo na sasa unapiga marufukuku. Hahahahaa sijui kama tutafika
 
Hivi na yale mafuta yanayouzwaga sana pemba na unguja nayosi hatari kwa afya ya binadamu sikumbuki yanaitwaje vilee........
 
Ni kweli kwa kunywa simshauri mtu. Mafuta ya ubuyu ni mazuri kwa ngozi na kutumiwa kama cosmetic lakini sio kunywa. Mimi niligoogle na walisema hivyo. Unga ndio mzuri sana. Mafuta tumia kama cosmetic!
Mwenye taarifa zaidi kuhusu hili atujuze hii si habari ya kawaida. Hatari kama ni kweli.
 
Watanzania wenzangu, taarifa kutolewa sio kitu cha ajabu, tatizo ni ubora, utaratibu, na hata uzito/umuhimu wa jambo lenyewe kwa wakati huu tulionao. Yako maswali mengi ya kujiuliza juu ya taarifa iliyotolewa na TFDA. Nayo ni kama yafuatayo;
1. Je Utafiti huu umefanyika mara ngapi na ulianza lini?
2. Ni watu wangapi wamefanyiwa uchunguzi na hata kuonekana kwamba wameathirika kwa kutumia mafuta ya UBUYU?
3. Je Mafuta ya ubuyu yanaathari sawa na Uvutaji wa Sigara?
4. Kama sigara inaathari na hata katika mango yao chini kabisa kwa maandishi maadogo yanasomeka, Onyo UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO kwanini sasa bado iko sokoni inauzwa?
5. Na kwanini mpaka sasa mali ghafi yake(Tumbaku) bado inalimwa?
6. Je nyuma ya taarifa hii kuna mgongo wa mafisadi na matajiri wakubwa Tanzania?
7. Kama ni mafisadi/ matajiri wakubwa nia yao hasa nini ktk bidhaa hii iliyopata saoko kubwa ndani ya Tanzania
8. Kwanini hawakuwakusanya wajasiriamali wote kwa pamoja na kuwapa taarifa mapema kabla ya Sabasaba?
9. Je sabasaba ndio mahali pekee pa kusemea habari za afya ya mwanadamu?
10. Kama sabasaba isingekuwepo taarifa hizi zingetolewa wapi na kwa wakati gani?
11. Je historia inasemaje juu ya utumiaji wa Ubuyu kuanzia unga, majani yake, magome, mizizi na hata kiini chake?
12. Je historia inaonyesha watu wangapi wameshawahi kupimwa na kukutwa na saratani na hata kufariki kwa sababu ya utumiajia wa bidhaa hii?
13. Je kiwango gani cha mafuta mtu akinywa atakuwa katika hatari ya kupata maradhi hayo?
14. Je Tone moja? kijiko kimoja? Robo lita? Nusu lita?
15. kunywa mafuta haya kwa wingi uko hatarini kupata saratani za aina nyingi, Nyingi maana yake nini? na hizo nyingi ni zipi?
16. Kama ukitumia kidogo na si kwa wingi hautapata kabisa saratani au utapata je ni aina gani ya saratani?
15. Afya ya mwanadamu ni ya kungojea tukio maalumu au huku ni kuchezea uhai wa mwanadamu kwa kusubili matukio ndo jambo litangazwe?
Yako maswali mengi ya kujiuliza hayo ni machache tu kwa wakati huu. Nawasilisha.
 
Watanzania wenzangu, taarifa kutolewa sio kitu cha ajabu, tatizo ni ubora, utaratibu, na hata uzito/umuhimu wa jambo lenyewe kwa wakati huu tulionao. Yako maswali mengi ya kujiuliza juu ya taarifa iliyotolewa na TFDA. Nayo ni kama yafuatayo;
1. Je Utafiti huu umefanyika mara ngapi na ulianza lini?
2. Ni watu wangapi wamefanyiwa uchunguzi na hata kuonekana kwamba wameathirika kwa kutumia mafuta ya UBUYU?
3. Je Mafuta ya ubuyu yanaathari sawa na Uvutaji wa Sigara?
4. Kama sigara inaathari na hata katika mango yao chini kabisa kwa maandishi maadogo yanasomeka, Onyo UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO kwanini sasa bado iko sokoni inauzwa?
5. Na kwanini mpaka sasa mali ghafi yake(Tumbaku) bado inalimwa?
6. Je nyuma ya taarifa hii kuna mgongo wa mafisadi na matajiri wakubwa Tanzania?
7. Kama ni mafisadi/ matajiri wakubwa nia yao hasa nini ktk bidhaa hii iliyopata saoko kubwa ndani ya Tanzania
8. Kwanini hawakuwakusanya wajasiriamali wote kwa pamoja na kuwapa taarifa mapema kabla ya Sabasaba?
9. Je sabasaba ndio mahali pekee pa kusemea habari za afya ya mwanadamu?
10. Kama sabasaba isingekuwepo taarifa hizi zingetolewa wapi na kwa wakati gani?
11. Je historia inasemaje juu ya utumiaji wa Ubuyu kuanzia unga, majani yake, magome, mizizi na hata kiini chake?
12. Je historia inaonyesha watu wangapi wameshawahi kupimwa na kukutwa na saratani na hata kufariki kwa sababu ya utumiajia wa bidhaa hii?
13. Je kiwango gani cha mafuta mtu akinywa atakuwa katika hatari ya kupata maradhi hayo?
14. Je Tone moja? kijiko kimoja? Robo lita? Nusu lita?
15. kunywa mafuta haya kwa wingi uko hatarini kupata saratani za aina nyingi, Nyingi maana yake nini? na hizo nyingi ni zipi?
16. Kama ukitumia kidogo na si kwa wingi hautapata kabisa saratani au utapata je ni aina gani ya saratani?
15. Afya ya mwanadamu ni ya kungojea tukio maalumu au huku ni kuchezea uhai wa mwanadamu kwa kusubili matukio ndo jambo litangazwe?
Yako maswali mengi ya kujiuliza hayo ni machache tu kwa wakati huu. Nawasilisha.
Mkuu naona umeanzisha hii ID ili upambane na TFDA elements humu jf. Safi sana mkuu
 
Hii hapa taarifa kwa umma kutoka kwa hao tfda
 

Attachments

  • Matumizi ua Mafuta ya Ubuyu - Taarifa ya TFDA.pdf
    746.2 KB · Views: 129
@ Ndumyana ninawaswa kwenye tundu ya haja kubwa toka nimenza kuyatumia wangu yananisababisha nikienda chooni nakawia kwasababu ya kujikuna!

kumbe wewe usisingizie mafuta ya ubuyu Bi mkubwa wangu kanywa lita nzima na yuko smart afya njema no kitambi kisicho na mpango!

kumbe wewe ulikuwa na matatizo yako binafsi

habari za asubuhi wana jamii? nawapenda sana na kuwaheshimu. mm ni kijana wa miaka 23 sasa nililelewa na wajomba mkoani Kagera, nilipokuwa na umri wa miaka 17 niliwahi kulawitiwa na mjomba angu kwa kipindi cha mwaka mzima na nikivuta kumbukumbu zangu nadhani ilifikia zaidi ya mara nane. nilipomaliza for 4 nikaondoka huko Kagera na kuja kuishi Dar kwa dada yangu ili niweze kujiendeleza maana matokeo yangu hayakuwa mazuri.
nilipofika Dar nimesomea course mbili ambazo ndo zimenisaidia kumudu maisha yangu mjini. na kipindi nimeingia dar tayari nilikuwa nishazoea guys sexual yani nilitamani sana maana nilikuwa namkimbuka mjomba kwa jinsi alivyokuwa akinifanya na nikatamani kupata tena hilo tendo. mwaka baada ya kumaliza course yangu nilipata kazi sehemu na nikawa nafanya hiyo kazi nilipofikisha umri wa miaka 20 nikapata tena myu mwingine wa kufanya nae, ki ukweli nilikuwa nafurahia ilo jambo kwa sana na nikaona ni zuri kwangu. sasa toka kufanya na mjomba nimeshafanya na watu zaidi ya wanne. sasa nataka kwenda nyumbani kusalimia maana nina muda sijaenda kuwasalimia kitu kinachoniumiza kichwa ni mjomba na yeye ameshaowa na naogopa anaweza akataka tena sasa je mnanishaurije wana jamii wenzangu?
 
Kama ndio hatari yote hiyo TFDA Na wizara ya Afya wanasubiri nn kutoa press release ya kuyapiga marufuku mara moja? ijulikane kwamba mgonjwa aliyeugua kwa mda mrefu yuko tayari kujaribu chochote ambacho ataambiwa kitamsaidia. chondechonde watjwa hapo juu hebu fanyeni mnusuru maisha ya watanzania tafadhali.
 
hawa TFDA waache kutuzingua na utafiti wao usio na mantiki ya kisayansi, ati "tindikali ya mafuta"
kinachotakiwa hapa ni uchambuzi kwa kila faida ziliyotangazwa mwanzoni na wazalishaji wa mafuta haya,
na waje na sababu zilizotafsiriwa wazi, sio kimkato tu "tindikali ya mafuta".
Nimeshuhudia hadi leo TFDA wakiharibu baadhi ya bidhaa wakisema ni feki,lakini sijaona hata siku moja wakiainisha
tofauti zilizopo kati ya hizo wanazosema feki na halisi. inasikitisha kuona wao wanaona fahari kuonekana kwenye tv
wakiteketeza milima ya bidhaa bila hata kutuonyesha tofauti ya fake na halisi ili kila mwananchi ajue. kuanzia sasa
tunataka kuona tukioneshwa katika tv na hadharani ( mitaani) tofauti ya bidhaa feki na halisi sio kutupa porojo tu.
 
Mimi huwa nashanga sana ninaposikia hiyo issue kwani inasemekana kwamba yanafaida pia sasa kipi ni kipi
 
kama wamesema hayo mafuta yana TINDIKALI basi wataje ni tindikali gani., ili watu waangalie ni jinsi gani wataiondoa hiyo tindikali na watu waendelee kutumia kama kawaida maana yanaonekana kuwa na faida nyingi katika miili yetu
 
Kuendesha pikipiki huku unahandasi na ugoro ni hatari? kikombe cha babu hakitibu! viroba na bange hatari mnataka uchambuzi kisayansi si waelewi ndugu zangu
 
kumbe wewe usisingizie mafuta ya ubuyu Bi mkubwa wangu kanywa lita nzima na yuko smart afya njema no kitambi kisicho na mpango!

kumbe wewe ulikuwa na matatizo yako binafsi

kuna watu mnapenda kuyavalia njwaga mambo ya watu kama makahaba wa mchana!
 
Lazy Intellectuals!
Wanasubiri mpaka watu waanze kupata madhara tena makubwa (kansa) halafu ndio waseme mafuta ya ubuyu yana madhara, msitumie! :disapointed:
 
Back
Top Bottom