charldzosias
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,448
- 3,334
mie tandu nimelala nae kitandani juz kati.. nikashtuka kuwasha taa ndio nikamuona ilibid nimuue tu.. picha nitazichek kam zipo bado.Aseeee uku kwetu goba kawaida sana, yani kama sio nyoka basi tandu utamkuta bafuni