Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,038
- 3,286
Huyo mdudu ni unamkamata,den unamtia kwenye boxer akapambanie kombe na mwenzake huko!!🏃🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusiana vipi na nyoka !?
Tangazo gani mkuu?mi nawakumbushia tu mwisho wa plastiki ni tarehe 1 mwezi wa 6.Mkuu!umelipia tangazo!?🤗🤗🤗
UmeuaAiseee chalii yangu yanamadhara sana kwa nyoka kwasababu yana photosynthesis
Wangap tuna elimu ya kumkamata nyoka?, Hvy vifaa tunavyo? Au tulishawah kuviona na kujua kuvitumia?, Tunachojua ni kutafuta kitofa na kutwanga, thats allAfrika bhana!! Ukimkamata nyoka mpeleke msituni na siyo kumuua!! Unawezaje kuua kiumbe ambacho hakina shida na mtu?!!
Si bure utakuwa unatokea ushuani, unashangaa nyoka kuingia ndani?Hii nayo kali ya mwaka
Nyoka kafikaje ndani?
😂😂😂😂Afrika bhana!! Ukimkamata nyoka mpeleke msituni na siyo kumuua!! Unawezaje kuua kiumbe ambacho hakina shida na mtu?!!
Si bure utakuwa unatokea ushuani, unashangaa nyoka kuingia ndani?
Nyoka wanaingia ndani mkuu, hasa kipindi cha mvua, au ndani kwako kukiwa na panya wengi.Sijatokea ushuani ila nimeshangaa sana nyoka kuingia ndani
Nyoka wanaingia ndani mkuu, hasa kipindi cha mvua, au ndani kwako kukiwa na panya wengi.
....hata kitunguu pia kinamtoa resi ukikatakata vipande na kumtupia, inakuwa kama kinamuwasha hivi.Yaani hiyo ni kiboko ya nyoka wote wadogowadogo ila yale makubwa tumia petroli kabisa.
Afrika bhana!! Ukimkamata nyoka mpeleke msituni na siyo kumuua!! Unawezaje kuua kiumbe ambacho hakina shida na mtu?!!
Mmeshawahi kutana na kifutu mfalme wa vita ndani, yule mdudu hana amani yani huo mda wa kumtafutia miundo mbinu ya kumhamisha mji utakuwepo kweliHuwa ina kera sana -binaadamu huwa tunadhani kuwa sisi pekee ndio tuna haki ya kufurahia maisha katika huu ulimwengu
Sio kosa la nyoka kuumbwa akiwa na sumu
Uo mda wa kukata kata kitunguuu uta upata wap....hata kitunguu pia kinamtoa resi ukikatakata vipande na kumtupia, inakuwa kama kinamuwasha hivi.
Lazima atoke alipojificha...
Inawezekana ukijipanga vyema -- but kama ameonyesha kutaka kukudhuru sawa unayo haki ya kujihami " .... ila kama hajaonyesha hilo kwanini umdhuru !!!?Mmeshawahi kutana na kifutu mfalme wa vita ndani, yule mdudu hana amani yani huo mda wa kumtafutia miundo mbinu ya kumhamisha mji utakuwepo kweli
Kama US.. Newyork kuna mipanya subways usitutishe.Bongo ninacho chukia ni hayo madude na panya
Poleni sanaAseeee uku kwetu goba kawaida sana, yani kama sio nyoka basi tandu utamkuta bafuni
si vizuri kuchoma moto viumbe vya Mwenyez Mungu.. maana yeye pekee ndie mwenye idhini ya kuchoma kiumbe chake moto.. ila kama kuua kawaida Ua maana ni hatar kwako ila si kumchoma moto..Wadau, nimemkamata uyu mtuhumiwa nyumbani, sasa nikasema nimwagie mafuta ya taa ili nimchome moto, aseeee ile kumwagiwa tu naona kama kapata uhai upyaa tukaanza kutafutana apa wakati nilishamponda kichwa nyang'anyang'a View attachment 1098760
Narudia tena muda na usumbufu, kumhamisha nyoka ina maana umpereke kwenye eneo lisilokuwa na watu ili asifanye uharibifu uko pia, na akikudhuru kuna mdau amesema apo juu mpaka ufike hospitali na io hospitali kue na io anti-venom ni shughuli, ilishatokea kwa mdogo wangu, tukamkimbiza mpaka tumbi Kibaha ila hawakuwa na dawa wakamuweka dripu tu ya maji.. Bahati nzuri hakuwa na sumu yule nyoka So aliuguza tu kidondaInawezekana ukijipanga vyema -- but kama ameonyesha kutaka kukudhuru sawa unayo haki ya kujihami " .... ila kama hajaonyesha hilo kwanini umdhuru !!!?