coyyote
Member
- Aug 12, 2018
- 53
- 88
- Thread starter
- #101
Asantee kwa elimu mkuuUnapo mmwagia nyoka mafuta ya taa yaingia ktk ngozi yake kama vile binadamu alivyo ktk ngozi yake nyoka nao wana vitundu vidogo vya mwili kupumua mafuta yakimwingia anajikunja kwa kujinyongnyonga mpk anakufa ni hatari kuchoma nyoka ukivuta moshi ile harufu yk sumu inaweza kukuingia na kukuathiri na pia unapomchoma miba yake ni hatari sana kwa wengine ikitokea mtu ameikanyanga