nimahussein
Senior Member
- Sep 17, 2013
- 181
- 26
Hadi nilivo graduate form 4 mafuta ya taa ilikua km daily meal kwangu,5 na 6 kadhalika...
ni hatari yaani..
Hadi nilivo graduate form 4 mafuta ya taa ilikua km daily meal kwangu,5 na 6 kadhalika...
shule mchanganyiko!boarding za was kwa wav. Hazina mtindo huo!zile za jinsia moja ndo zina mtindo wa kuweka mafuta ya taa
sijui sisi wa boarding tupo salama au??mafuta ya taa kuanzia form 1 hadi form6..duuh waje wanifanyie extraction maana nahisi sipo salama naweza kuripuka nikipita karibu na jiko.
weweee mi nimesoma shule ya mchanganyiko boys n girls mafuta yataa wanaweka kama kawa sanaaa tu! tena siku nyingine sijui huwa wanazidisha kipimo had harufu inasikika kabisaa!
umeona eeh,then mukiuliza wanazingua eti oooh yaliingia kwa bahati mbaya,yaan hata sijielewi hapa kama nina nguvu tena mm,..
Hadi nilivo graduate form 4 mafuta ya taa ilikua km daily meal kwangu,5 na 6 kadhalika...
hahahahmafuta ya taa wanaweka kwenye chakula kama emergency iwapo umeme utakatika umeme ukikatika kila mtu anachukua kiberiti anakiwasha chakula chake anamulikia tena ugal unawaka kweli