Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,506
- 1,324
Heshima yenu wakuu.Je mafuta ya taa yana madhara kwa afya ya binadam? Kama ndiyo kwanini mashuleni wanafunzi hutiliwa mafuta hayo kwenye chakula? Najua wapo watu ambao hawajawahi kukutana na hii kitu ila naamini kwa wanafunzi au waliopita shule hususani shule za upili wanaifahamu.Kama ina madhara selikari inasema nini kuhusu kukomesha hili? Asante.