Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za leo wandugu wapendwa, napenda kufahamu mafuta ya simba husaidia nini katika mwili wa binadamu. Asanteni
mafuta yatokanayo na wanyama sio mazuri sana kwa afya, yanahusishwa sana na matatizo ya moyo. Chanzo kizuri cha mafuta mwilini ni yale yatokanayo na mimea mfano karanga, korosho nk.Za leo wandugu wapendwa, napenda kufahamu mafuta ya simba husaidia nini katika mwili wa binadamu. Asanteni
kama ni matibabu ya misuli na viungo sijui lakini nina shaka! na ku-inhale mafuta itasababisha respiratory problems hata kama ni kidogo; kwa nini uya-inhale?mafuta ya simba huweza saidia kupunguza maumivu ya joint na muscles,ila wakati mwa kutumia kuwa muangalifu maana ukiya inhale sana yatasababisha respiratory problem.
mafuta yatokanayo na wanyama sio mazuri sana kwa afya, yanahusishwa sana na matatizo ya moyo. Chanzo kizuri cha mafuta mwilini ni yale yatokanayo na mimea mfano karanga, korosho nk.
kama ni matibabu ya misuli na viungo sijui lakini nina shaka! na ku-inhale mafuta itasababisha respiratory problems hata kama ni kidogo; kwa nini uya-inhale?
Unampaje,.njia ipi inatumika kumchanja,.kumpaka,.kumnywesha au?Ni kweli ni dawa ya muscles au viungo, unajichuwa nayo. Ila watu wengine wanaamini ukimpa mtoto wako kiasi fulani eti akiwa mkubwa atakuwa jasiri na mkali!!! Sasa hapo tena ni hatari maana kwa ambao ninawafahamu wametumia mafuta ya simba ni wakali mno na hasira juu, hawakamatiki. Nawashauri acha mtoto awe natural kwa tabia yake ya asili achana na artificials. Labda kama atakuwa jasiri wa kuchangia issues bila woga JF basi mpe!!!!