Nimepata kusikia sikia kuhusu KY jelly, ni yepi matumizi halisi ya hii jelly.
Hii tunatumia kuingizia catheter kwenye urethral ili usipate maumivu. Hutumika kama lubricant. Pia hutumika kupimia anus kama kunaugonjwa mfano rectal tumor au BPH
Ahsante kumjibu pia hutumika wakati wa kuingiza mpira wa chakula kupitia puani kwenda tumboni kwa mgonjwa
Kha, Kwani mashavu yapo ya aina ngapi?Nasikitika kama haufanyi pap smear! Inatumika kulubricate ile chuma ya kutanulia mashavu kabla ya kuchukua specimen.
Nasikitika kama haufanyi pap smear! Inatumika kulubricate ile chuma ya kutanulia mashavu kabla ya kuchukua specimen.
Nasikitika kama haufanyi pap smear! Inatumika kulubricate ile chuma ya kutanulia mashavu kabla ya kuchukua specimen.