busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,332
Kiongozi vp ushaijaribu hiyo NATURAL VIAGRA nn ...Hii kitu umenikumbusha Sheikh kipozeo anasema changanya na asilimbichi utapata heshima kwa mkeo.
Kiongozi vp ushaijaribu hiyo NATURAL VIAGRA nn ...Hii kitu umenikumbusha Sheikh kipozeo anasema changanya na asilimbichi utapata heshima kwa mkeo.
MAREFU lakini yenye MANUFAA sanaMaelekezo yake marefu kama tamthilia ya THE BOLD AND THE BEAUTIFUL
Kaka Yusuph bwana!Unapatikana wapi hapa dar.nicheki 0754604567
Hapana kiongozi.Kiongozi vp ushaijaribu hiyo NATURAL VIAGRA nn ...
unaweza tumiwa mkuuYanapatiakanaje kwa waliopo mikoani
May you be BLESSED ABUNDANTLY for this INFO ... nikijaaliwa uhai na kufika Dar hakika nitaitafuta ...
kazi ni kwenu
karibu sana mi naenda kuitafuta kariakoo jion hii na nauza ha ha haMay you be BLESSED ABUNDANTLY for this INFO ... nikijaaliwa uhai na kufika Dar hakika nitaitafuta ...
Ipo kila mkoa nenda ktk maduka ya kisuna utayapataMay you be BLESSED ABUNDANTLY for this INFO ... nikijaaliwa uhai na kufika Dar hakika nitaitafuta ...
YouTube imenigomea ... so sijapata INFOS ya kutosha kuhusu USAGE and DOSAGE ... naomba kufahamu kuhusu hiyo dosage ... kijiko 1 cha HABAT SODA + kijiko 1 cha ASALI kutwa mara ngapi na kwa muda gani?
kazi ni kwenu
Kwa Arusha nenda friendscorner upande wa juu iliko crdb meru branch vuka ile street unakuta posta, baada ya posta kuna duka la wahindi hapo wanauza dawa za asili toka zamani hapo utaipata.Yanapatiakanaje kwa waliopo mikoani
Ndo nn hizo kiongozi?