Mafuta ya gari kwa punda

Pawaga

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
1,330
966
Jamaa mmoja alikuwa anaendesha mkokoteni wa punda,siku moja alimuuliza rafik yake,kwanin magari yanaenda mbio sana kuliko mkokoten?,. Alijibu kwa kuwa magar yanatumia mafuta. Siku ya 2 jamaa akaenda shell na punda wake akamnyanyua mkia punda,akasema atiwe lita 5 za petrol. Petrol ilimuwasha punda matakon akatoka mbio jamaa akamfukuza kidogo kisha akarud akavua suruali na kuinama akamwambia muuza mafuta amtie lita 10 haraka amfukuzie punda wake. Unajua nini kilitokea?,we acha tu ntarud kesho.
 
kwa sababu yy aliwekewa lita 10 basi speed yake itakua kubwa sana...tehe!!
 
Jamaa mmoja alikuwa anaendesha mkokoteni wa punda,siku moja alimuuliza rafik yake,kwanin magari yanaenda mbio sana kuliko mkokoten?,. Alijibu kwa kuwa magar yanatumia mafuta. Siku ya 2 jamaa akaenda shell na punda wake akamnyanyua mkia punda,akasema atiwe lita 5 za petrol. Petrol ilimuwasha punda matakon akatoka mbio jamaa akamfukuza kidogo kisha akarud akavua suruali na kuinama akamwambia muuza mafuta amtie lita 10 haraka amfukuzie punda wake. Unajua nini kilitokea?,we acha tu ntarud kesho.
<br />
<br />
 
Jamaa mmoja alikuwa anaendesha mkokoteni wa punda,siku moja alimuuliza rafik yake,kwanin magari yanaenda mbio sana kuliko mkokoten?,. Alijibu kwa kuwa magar yanatumia mafuta. Siku ya 2 jamaa akaenda shell na punda wake akamnyanyua mkia punda,akasema atiwe lita 5 za petrol. Petrol ilimuwasha punda matakon akatoka mbio jamaa akamfukuza kidogo kisha akarud akavua suruali na kuinama akamwambia muuza mafuta amtie lita 10 haraka amfukuzie punda wake. Unajua nini kilitokea?,we acha tu ntarud kesho.
<br />
<br />
Kuanzia siku hiyo akawa shoga!
 
aaah hiyo nimeipenda...! unajua nini kilitokea..!? jamaa alicheki akaona haendi kasi basi akaamua kujaribu kupasha moto makalio...! asee jamaa alipaa..!
 
tehete uuuuwiiii cna mbavu cpati picha mwisho wa muvi ulikuwaje very funy by the way
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom