mbutalikasu
Member
- Jan 20, 2012
- 53
- 17
Wana JF kuna mafuta machafu yaliyoingizwa nchini na TPDC na kuyauza katika nchi za Rwanda, Burundi na Uganda yamerudishwa nchini kwasababu mafuta hayo ni machafu kupindukia na nimepita ktk mpaka wa Kabanga nimekuta kuna malori kama matano ikabidi niende Rusumo nikakuta pia malori mawili moja la kitanzania na lingine la kinyarwanda mali ya Merez la kitanzania ni kampuni ya Bridgeway na nimeambiwa yapo mengine Kampuni ya Worldoil na Liberty yanakuja.
Source mimi mwenyewe. Pia napendekeza mwandishi wa habari aje apige kambi hapa awarushie hiyo taalifa live bila chenga
Aibuuuuuuuuu tanzania aibuuuu kwa serikali aibu kwa TBS na TPDC
Source mimi mwenyewe. Pia napendekeza mwandishi wa habari aje apige kambi hapa awarushie hiyo taalifa live bila chenga
Aibuuuuuuuuu tanzania aibuuuu kwa serikali aibu kwa TBS na TPDC