Mafuta bei juu kuanzia kesho, baadhi wafunga vituo kusubiri bei mpya

Wana raha waalimu wa dar maana hata nauli ikipanda wao hayawahusu daladala bure.Mkonda hoyeeeeeeeeeeeeeee
 
Wana raha waalimu wa dar maana hata nauli ikipanda wao hayawahusu daladala bure.Mkonda hoyeeeeeeeeeeeeeee
 
c23a207eeeb17f19b0650780747bce4e.jpg
 
Lakini si unaona tumepata majibu wote. Unajua bado nipo kwa ofisi na nilikuwa najiuliza nijaze mafuta katika gari leo au nisubiri kesho. Hata hivyo Ahsante kwa kunikosoa (nimejifunza pia)
Bei mpya ya Petro na Diesel
Mzalendo wakati mwimgine hakuna haja ya kuanzisha post km hujui kuandika Kicha cha habari umenitoa mbali kufika nakuta maswali tena
 
Safi sna.. Sukari ya 1800 hatujaiona. Cement ya 8000 hatujaiona bado, tulichokiona ni 18% vat kwenye miamala, 1000 ya kila line ya sim-sim card, kuzuiwa mikutano ya kisiasa ya upinzani tu, mihemko kina makondakta na lile la kanda maalumu... Kweli hii ndo #nchiyamwendokasi
 
Dah!! Kwaiyo baadhi ya wachangiaji wanataka rais akawazuie nchi za kiarabu wasipandishe mafuta
 
Ewura Mara zote wanataka bei isipungue sh 2000 Kwa Lita hapa Dar. Wanalazimika sana kupunguza kidogo lkn kwa shingo upande sana.
 
Bavicha mtaendelea kuitwa nyumbu kwakuwa jina hilo lina wafaa..
Huwa mnajitapa humu kujifanya wafatiliaji wa mambo kumbe bure kabisa maana hadi leo hamjui kuwa kodi kwenye petrol na mafuta haikuongezwa na wala hakukuwekwa VAT!

Habari inasema wazi kuwa ni kupanda bei duniani ndio kumepelekea kupanda kwa bei nyie mnakimbilia ooh kodi ooh VAT..

Wewe nawe utakuja kupata uchizi siku moja kama bado hujawa chizi. Hii tabia yako ya kujifanya msemaji wa serekali itakuletea pressure bure, mbona kila mara bei inashuka huko duniani lakini kushuka hapa nchini ni mpaka watu waende kwenye kipindi cha TV ndio ishuke tena kwa kujivuta? Na bado hata punguzo lenyewe haliendani na kiwango cha kushuka huko duniani?
 
Unaishia kusikia matamko tu kutoka kwenye chombo cha serikali chakavu, uvivu wa kuchimbua zaidi habari unafanya na akili yako kudumaa.
WEWE ni nyumbu.
Hebu leta hapa ushahidi wa kuonesha kodi kupandishwa kwenye mafuta na petrol yani mnataka kupotosha halafu muachwe....hahahaha
 
Kisu kimegonga mfupa kila anaepinga basi chadema badilika we tunazungumzia serikali sio chama chenu mara ngapi yanatokea ulaya lakini uku chenga acha kukariri maisha bajeti imefanyeje unajua maana ya bajeti au ndo unasikiliza wanachosema na we unasema jifunze kusema mwenyewe ubongo ukuwe we miaka 50 unasifia ccm na wamaaribu mangapi badilika sio kila unachokipenda au mtazamo wako basi ndo uwe kila mtu ivo
Hivi mnataka mpotoshe halafu muachwe?leta ushahidi wa kupandishwa kodi kwenye mafuta na petrol! Nyumba hebu acheni uongo.
 
Acha kuongea maneno bila uthibutisho nenda ukagoogle kama mafuta yamepanda bei. Juzi hapa Rais wa Angola katangaza nchi yake kufilisika kwasababu ya bei ya mafuta kushuka. Tafuteni sababu nyingine.
Sasa wewe unabishana na EWURA? Sasa mnataka mpotoshe muache? Ni lini serikali imepandisha kodi kwenye mafuta na petrol?
 
Back
Top Bottom